Health And Wellness Is Your Priority & Personal Development Mentorship Programs.

“Your health is your responsibility, love your health as you love your stuff”. -@Paul Biswalo.

We are looking forward to connect with you.

Our phone number is +255 768 603 979,for only calls/text &
+255 ,for WhatsApp only.
Email-address : biswalopaul@gmail.com.

It's me your lovely friend,
Yours in faithfulness,

-@Paul Biswalo, C.E.O & FOUNDER.
Mentor || Motivational Speaker || Trainer || Event Host || Entrepreneur || Healthy & Life coach || Presenter & Inspirational Public Speaker.
*let's meet all at the Top because is no longer crowded*

Kutoa SUMU/TAKA MWILI ni muhimu sana kwa ajili ya kulinda afya zetu na kujilinda na magonjwa.

Kutoa SUMU/TAKA MWILI ni muhimu sana kwa ajili ya kulinda afya zetu na kujilinda na magonjwa.

JE, ULISHAWAHI KUSAFISHA MWILI WAKO KWA KUTOA SUMU/ TAKA MWILI KWA NDANI (DETOXIFICATION)..?

Je, unafahamu Maradhi mengi 90% Husababishwa na Utumbo wako kuwa mchafu ( TOXIC COLON)

WASILIANA NASI KWA USHAURI NA TIBA PIA Kwa namba hii +255768603979.

Kawaida Mwili wa binadamu huzalisha sumu au taka mwili (free Radicals) kila mara kunapofanyika mmeng'enyo wa chakula mwilini mwako.

Taka hizi hutolewa ndani ya mwili kupitia njia mbalimbali ikiwemo haja kubwa, mkojo pamoja na jasho.

Mwili wa binadamu unaweza kupatwa na Sumu au takataka zisizohitajija kwa namna mbili, kupitia mazingira tunayoishi kama vile viwanda, migodi na maeneo mengine hatarishi.

Ama kupitia vyakula tunavyokula, na vinywaji ambavyo tunavitumia kila siku.

Vilevile sumu au takamwili, zinaweza kuingia mwilini kupitia dawa mbalimbali hasa tunazotumia kutibu magonjwa mbalimbali yanayotupata.

Mwili unapoingiwa na Sumu au takataka zisizohitajika na zikazidi mwilini unaweza ukapata madhara mbalimbali ya kiafya kama vile;

Uchovu Sugu,Maumivu Ya Viungo,Kuumwa Kichwa kila mara,tumbo kujaa gesi.

Kuwa kwenye Hatari ya kupata kansa ya utumbo,
Tatizo sugu la kupata choo (Constipation) au kupata choo kigumu,Kuishiwa nguvu,Msongo wa mawazo (Stress), Hormonal imbalance, pamoja na matatizo mbalimbali ya ngozi ikiwemo chunusi,nk nk.

Ili miili yetu iweze kufanya kazi vizuri na tuendelee kuwa na afya njema inabidi tuilinde kwa kutoa sumu kila mara,kama tunavyofanyia service magari yetu, au machine nk,

Njia sahihi na bora za kutoa sumu mwilini ni kutumia vyakula vya asili vyenye virutubisho muhimu kwa afya.
️Njia nyingine ni kunywa maji mengi kila siku.
️Kufanya mazoezi
Kufanya masaji.
️Kula zaidi Vyakula vyenye nyuzinyuzi(protein kwa wingi)

LINDA AFYA KWA KUSAFISHA UTUMBO WAKO MPANA (COLON CLEANSE).

C9 ni Bidhaa Bora ya Asili ya Kusafisha SUMU au Taka mwili, kupunguza Uzito, kusafisha njia ya mmeng'enyo wa chakula, kuondoa mafuta Mabaya ( Bad Cholesterol), Itakufanya ujenge SELI mpya na kukufanya Ngozi yako Ing'ae na kuwa na muonekano mzuri.

Pia kuboresha afya yako kwa virutubisho vilivyomo ndani Yake.


BAADA_YA_CHANGAMOTO_KUIKUMBA_JAMII_JOPO LA WATAALAMU/MADAKTARI_WALIOBOBEA_KATIKA AFYA_YA_MWANADAMU_WALIFANYA_TAFITI_YA_NAMNA_YA_KUONDOA_CHANGAMOTO_HIZO_BILA_KUTUMIA_DAWA_AU_VIAMBATA_VYENYE_SUMU_BALI_KUTUMIA_VIRUTUBISHO.

Virutubisho hivyo vimekuwa vikitumiwa na watu wengi kwa zaidi ya mataifa 170 duniani na tunashuhuda nyingi za watu waliopata kuboreshwa kwa afya zao baada ya kutumia virutubisho hivyo.

Kwa Ushauri au Kupata Huduma zetu Kama Uko Dar Es Salaam,Dodoma,Arusha,Mwanza Na Mbeya,Rukwa,Katavi,Singina,Ruvuma,Njombe,Simiyu,Mara...na Popote Ulipo(Tanzania Na Zaidi Ya Nchi 160 Duniani).
Free delivery ndani ya Dar, kama upo mkoani utatumiwa pia ndani na nje ya tanzania .

Kwa maelezo zaidi jinsi unavyoweza kupata bidhaa zinazo ondoa tatizo hilo wasiliana nasi kupitia namba hii +255768603979.

Ni virutubisho asili ambavyo vimeshawasaidia watu wengi saana hapa nchini na Duniani kwa Ujumla. Karibu Upate huduma zetu kwa ushauri pia wasiliana nasi PIGA /TUMA NENO :"Health and wellness is Your Priority".kisha #SULUISHO LA KUSAFISHA MWILI WAKO KWA KUTOA SUMU/ TAKA MWILI KWA NDANI (DETOXIFICATION).

kwa mawasiliano: +255768603979“ maamuzi yako ya sasa ni matokeo ya baadaye”
. ///https://web.facebook.com/Yourhealthyourprioritylifestyles/…
https://paulbiswalo.blogspot.com/
https://www.pinterest.com/biswalopaul/
SHARE NA UNAOWAPENDA ILI WAFAIDI ELIMU HII YA BURE.

KWA KUENDELEA KUPATA UP-DATE JUU YA AFYA LIKE PAGE HII NA KUSHARE ELIMU HII YA BURE KWA WENGINE.

Share:

Fahamu ugonjwa wa MASUNDO SUNDO (genital warts) jinsi ulivyo kuwa hatari kwa afya yako. WASILIANA NASI KWA USHAURI NA TIBA PIA Kwa namba hii +255768603979.

Fahamu ugonjwa wa MASUNDO SUNDO (genital warts) jinsi ulivyo kuwa hatari kwa afya yako.

WASILIANA NASI KWA USHAURI NA TIBA PIA Kwa namba hii +255768603979.

Habari ndugu msomaji,Natumai uko vyema na unapambana kuhakikisha unatimiza malengo yako ya mwaka huu unaoingia ukingoni.

Leo tutazungumzia ugonjwa wa masundosundo au wengine huuita mafingo fingo na kitaalamu unaitwa "genital warts".

Huu ni ugonjwa wa virusi na huambukizwa kwa kugusana na mtu mwenye tatizo hili hususani kwa sehemu zenye maji maji kama vile jasho kwenye ngozi,mate wakati wa kiss na njia ya kujamiiana na mtu mwenye ugonjwa huu hatari.

ugonjwa huu huweza kushambulia sehemu yoyote ya mwili hata kwenye ngozi ila kwa miaka ya karibuni umekua ukiathiri sana sehemu za siri kutokana na watu kuendekeza ngono zembe.

HABARI KIUNDANI KUHUSU UGONJWA HUU.

Huu ni ugonjwa wa virusi unaoitwa kitaalam kama "Human papilloma virus" ambao hushambulia sehemu ya ngozi mwilini ila kwa sasa umeenea zaidi kwenye sehemu za siri kama vile kwenye uke,uume au sehemu ya haja kubwa.

Huambatana na dalili za kuota vinyama sehemu hizo ambapo huanza kuwa vingi halafu vidogo vidogo na baadae kuwa vikubwa..Vinyama hivi huwa kama vipele ila mda unavyo zidi kwenda vinakua kama vidole na mwishowe huweza kuziba kabisa njia ya uzazi kwa mwanamke au njia ya haja kubwa na pia huweza kubadili kabisa mwonekano wa uume.

Kiufupi ni ugonjwa mbaya sana na huharibu kabisa muonekano wa maumbike halisi ya mhusika ambaye ana ugonjwa huu hatari kwa afya.

wanawake wanashambuliwa sana na ugonjwa huu kutokana na maumbile yao na ile hali ya maji maji ukeni kuwa mazingira rafiki na mazuri kwa hao virusi kujishikiza na kuweka makazi ya kudumu.

Changamoto ya ugonjwa huu ni kwamba unapojaribu kukata hivyo vinyama ndipo unasababisha viote zaidi na zaidi.
Mahospitalini wanakata ,mwishoni vinazidi kuota na kuenea ambapo huleta sura mbaya ya maumbile yako.

JINSI UGONJWA UNAVYO ENEZWA.

-Unaweza kuambukizwa kwa mgusano wa ngozi baina yako na mtu wenye ugonjwa huu hatari kwa afya.
Unawesa kuambukizwa kwa kubadilishana mate/ku-kiss.

-Njia kubwa zaidi ni kupitia ngono zembe ambapo msuguano na kushikana kwa maji maji husababisha virusi kuingia sehemu za ziri na kuweka makazi ya kudumu maana mazingira ya uke ni mazuri sana na ni kivutio cha kuweka makazi ya kudumu ukeni.

-Pia huenezwa kwa kufanya ngono kinyume na maumbile.

CHANGAMOTO ZA UGONJWA HUU.

**Mgonjwa anakua hafurahii tendo la ndoa**
**Maumivu wakati wa tendo**

**kupoteza mvuto na kuonaa aibu na kinayaa inayotokana na harufu mbaya kwa mwenzako**

**inaweza kukuharibu kisaikolojia pia**

CHANGAMOTO ZA KUTIBU.

kikawaida virusi hawa ni wagumu sana kuuliwa na dawa za hospitalini na hivyo ugonjwa huu unasumbua sana kuutibu.
mara nyingi hospitalini wanakata vile vinyama ila mwisho wa siku vinaota tena na tena kwa kasi ya ajabu ambapo huwa makubwa zaidi na kupelekea kuziba njia ya uke au haja kubwa.

Usipodhibitiwa huweza kusababisha saratani ya shingo ya uzazi kwa mwanamke maana huingia ndani ukeni na kuua sehemu za ndani na hivyo unaweza kuwa mgumba au kuharibu mimba.

Dawa nyingi za hospitali hazijaleta mafanikio kutibu tatizo hili.

Jinsi ya kudhibiti ugonjwa huu ni kuuwa mazingira ya virusi kuzaliana kwa kutumia anti virus na sio kukata vinyama hivo.

Nirudie tena kwamba "anti virus" za hospitali bado hazijaleta manufaa makubwa kwenye tiba.

Tufanyeje sasa?????

HABARI NJEMA

unachoweza kutumia na kufanikiwa ni kutumia "anti virus" za asili tuu.

Na hizi zipo chache na adimu kupatikana ila kama upo serious unaweza kuzipata.

Kutokana na maadili hatuwezi kuweka kila kitu hadharani huku mtandaoni;....tumeanzisha semina kwa ajili ya kusaidiana zaidi na jinsi ya kupata msaada zaidi.hapa hapa "HEALTH AND WELLNESS IS YOUR PRIORITY"kwa kukutana na wataalamu wetu kupitia mawasiliano ,WASILIANA NASI KWA USHAURI NA TIBA PIA Kwa namba hii +255768603979.

Ili kumlinda anayehitaji maongezi zaidi tutafute kwa namba yetu hiyo.


BAADA_YA_CHANGAMOTO_KUIKUMBA_JAMII_JOPO LA WATAALAMU/MADAKTARI_WALIOBOBEA_KATIKA AFYA_YA_MWANADAMU_WALIFANYA_TAFITI_YA_NAMNA_YA_KUONDOA_CHANGAMOTO_HIZO_BILA_KUTUMIA_DAWA_AU_VIAMBATA_VYENYE_SUMU_BALI_KUTUMIA_VIRUTUBISHO.

Virutubisho hivyo vimekuwa vikitumiwa na watu wengi kwa zaidi ya mataifa 170 duniani na tunashuhuda nyingi za watu waliopata kuboreshwa kwa afya zao baada ya kutumia virutubisho hivyo.

Kwa Ushauri au Kupata Huduma zetu Kama Uko Dar Es Salaam,Dodoma,Arusha,Mwanza Na Mbeya,Rukwa,Katavi,Singina,Ruvuma,Njombe,Simiyu,Mara...na Popote Ulipo(Tanzania Na Zaidi Ya Nchi 160 Duniani).
Free delivery ndani ya Dar, kama upo mkoani utatumiwa pia ndani na nje ya tanzania .

Kwa maelezo zaidi jinsi unavyoweza kupata bidhaa zinazo ondoa tatizo hilo wasiliana nasi kupitia namba hii +255768603979.

Ni virutubisho asili ambavyo vimeshawasaidia watu wengi saana hapa nchini na Duniani kwa Ujumla. Karibu Upate huduma zetu kwa ushauri pia wasiliana nasi PIGA /TUMA NENO :"Health and wellness is Your Priority".kisha #SULUISHO LA Ugonjwa wa maundosundo.


kwa mawasiliano: +255768603979“ maamuzi yako ya sasa ni matokeo ya baadaye”
. ///https://web.facebook.com/Yourhealthyourprioritylifestyles/…
https://paulbiswalo.blogspot.com/
https://www.pinterest.com/biswalopaul/
SHARE NA UNAOWAPENDA ILI WAFAIDI ELIMU HII YA BURE.

KWA KUENDELEA KUPATA UP-DATE JUU YA AFYA LIKE PAGE HII NA KUSHARE ELIMU HII YA BURE KWA WENGINE.


Share:

DALILI ZA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME.

DALILI ZA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME.

WASILIANA NASI KWA USHAURI NA TIBA PIA Kwa namba hii +255768603979.

Mwanaume anayekabiliwa na tatizo la ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume huonyesha dalili zifuatazo:-

1. Kutokuwa na uwezo wa kusimamisha uume wake barabara. Kwa kawaida uume wa mwanaume aliyekamilika (rijali ) unaposimama, hutakiwa kuwa imara kama msumari, lakini kwa mwanaume anaye kabiliwa na tatizo hili uume wake hata ukisimama hubakia kuwa lege lege na huweza kusinyaa wakati wowote. Tatizo hili ni matokeo ya kulegea kwa mishipa ya uume. Mishipa ya uume ndio inayo ufanya uume usimame barabara.

Mishipa hii inapokuwa imelegea, uume hauwezi kusimama barabara hata iweje. Kulegea kwa mishipa ya kiume kunasababishwa na upigaji wa punyeto kwa muda mrefu. Mtu anaye piga punyeto anakuwa kulegea kwa misuli ya uume misuli ndo inaufanya uume kusimama vizuri.

2.kutokuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa mara moja. Hii husababishwa na kutokuwa na msukumo mzuri wa damu wa kutosha kwenye mishipa ya uume.

3. Kutojisikia hamu ya tendo la ndoa. Hili ni matokeo ya kuwa na msongo wa mawazo.
4. Kufika kileleni mapema.
5. Kutokuwa na uwezo wa kusimamisha kabisa. Hali hii hutokea pindi tatizo la kutokuwepo kwa msukumo wa damu wa kutosha kwenye mishipa ya uume linapokuwa limekomaa.

6.Uume kusinyaa na kurudi ndani. Hapa uume wa mwanaume unakuwa umesinyaa na kurudi ndani. Uume huu unakuwa hauna uwezo wa kukamilisha tendo la ndoa hali hii husababishwa na upigaji punyeto kw a mda mrefu pia magonjwa hasa chango lá kiume au ngiri.

PIA VYANZO VIKUU VYA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME
.upigaji punyeto wa mda mrefu
.msongo wa mawazo
.ugonjwa wa kisukari
.shinikizo lá damu (pressure
.kupooza kwa mwili
.kuugua chango la kiume
.ulevi ulokithiri
.woga wa kufanya tendo la ndoa
.kuwa na wasiwasi wa kumudu kutekeleza tendo la ndoa
.uzoefu wa kukatisha tamaa wa siku za nyuma
.ulaji mbovu wa vyakula vya kisasa na vyenye mafuta kupita kiasi
.mazingira yasiyoridhisha wakati wa tendo la ndoa


BAADA_YA_CHANGAMOTO_KUIKUMBA_JAMII_JOPO LA WATAALAMU/MADAKTARI_WALIOBOBEA_KATIKA AFYA_YA_MWANADAMU_WALIFANYA_TAFITI_YA_NAMNA_YA_KUONDOA_CHANGAMOTO_HIZO_BILA_KUTUMIA_DAWA_AU_VIAMBATA_VYENYE_SUMU_BALI_KUTUMIA_VIRUTUBISHO.

Virutubisho hivyo vimekuwa vikitumiwa na watu wengi kwa zaidi ya mataifa 170 duniani na tunashuhuda nyingi za watu waliopata kuboreshwa kwa afya zao baada ya kutumia virutubisho hivyo.

Kwa Ushauri au Kupata Huduma zetu Kama Uko Dar Es Salaam,Dodoma,Arusha,Mwanza Na Mbeya,Rukwa,Katavi,Singina,Ruvuma,Njombe,Simiyu,Mara...na Popote Ulipo(Tanzania Na Zaidi Ya Nchi 160 Duniani).
Free delivery ndani ya Dar, kama upo mkoani utatumiwa pia ndani na nje ya tanzania .

Kwa maelezo zaidi jinsi unavyoweza kupata bidhaa zinazo ondoa tatizo hilo wasiliana nasi kupitia namba hii +255768603979.

Ni virutubisho asili ambavyo vimeshawasaidia watu wengi saana hapa nchini na Duniani kwa Ujumla. Karibu Upate huduma zetu kwa ushauri pia wasiliana nasi PIGA /TUMA NENO :"Health and wellness is Your Priority".kisha #SULUISHO LA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME.


kwa mawasiliano: +255768603979“ maamuzi yako ya sasa ni matokeo ya baadaye”
. ///https://web.facebook.com/Yourhealthyourprioritylifestyles/…
https://paulbiswalo.blogspot.com/
https://www.pinterest.com/biswalopaul/
SHARE NA UNAOWAPENDA ILI WAFAIDI ELIMU HII YA BURE.

KWA KUENDELEA KUPATA UP-DATE JUU YA AFYA LIKE PAGE HII NA KUSHARE ELIMU HII YA BURE KWA WENGINE.

Share:

KISUKARI NI NINI HASWA? CHANZO , DALILI ZAKE NA TIBA

KISUKARI NI NINI HASWA? CHANZO , DALILI ZAKE NA TIBA

WASILIANA NASI KWA USHAULI NA TIBA PIA Kwa namba hii +255768603979.

Sukari mwilini hutokana na vyakula pamoja na vinywaji tunavyotumia kila siku na hutumika kuupa mwili nguvu. Glukosi ni aina ya sukari ambayo huzipa chembe za mwili nishati. Hata hivyo ili glukosi iingie ndani ya chembe hizo inahitaji insulini. Insulini ni kemikali (Homoni) ambayo hutokezwa na kongosho (Pancrease).

Kisukari ni ugonjwa unaotokana na mtu kuwa na sukari nyingi kupita kiasi kwenye damu. Ugonjwa huo huvuruga utaratibu wa kuingiza sukari ndani ya chembe kutoka kwenye damu kwa kuwa chembe huhitaji sukari ili kupata nishati.

Ugonjwa wa Kisukari hutokea pale ambapo tezi ya kongosho inaposhindwa kutengeneza kichocheo (Homoni) aina ya insulin au pale mwili unaposhindwa kutumia vizuri kichocheo hicho na kusababisha kuongezeka kwa sukari (Hyperglycemia) au kushuka kwa kiwango cha sukari (Hypoglycemia). Ugonjwa wa kisukari unaweza kusababishwa na kuwa na kiwango kidogo cha insulin mwilini, mwili kutosikia kichocheo hicho au yote mawili.

Magonjwa yasiyo ya kuambukiza ni magonjwa ambayo hayasambazwi kwa mtu mwingine kwa kuwa hakuna vimelea mwilini vinavyohusiana na magonjwa hayo. Magonjwa yasiyo ya kuambukiza ni kama ya moyo na mishipa ya damu, figo, saratani, kifua sugu, kisukari, magonjwa ya akili na mengine ya kurithi kama vile ugonjwa wa selimundu (Sickle Cell Disease).

Ripoti ya Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) ya 2013, inadai magonjwa yasiyo ya kuambukiza ndio chanzo kikubwa cha vifo ulimwenguni, yakifanya asilimia 63 ya vifo vyote kwa mwaka. Magonjwa yasiyo ya kuambukiza huua watu zaidi ya milioni 36 kila mwaka. Asilimia 80 ya vifo vinasababishwa na magonjwa hayo hutokea nchi zinazoendelea, Tanzania ikiwa miongoni mwa nchi hizo. Inakisiwa kuwa mwaka 2020 magonjwa haya yasiyo ya kuambukiza yatasababisha asilimia 73 ya vifo vyote duniani na asilimia 60 ya ukubwa wa tatizo la magonjwa duniani.

Nchini Tanzania, katika mpango wa upimaji wa afya kwa magonjwa yasiyoambukiza jijini Dar es Salaam, Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umebaini kuwa idadi kubwa ya wanaume wanapatwa na magonjwa hayo kuliko wanawake. Uchambuzi huo umeonyesha magonjwa yasiyoambukiza kama kisukari, shinikizo la damu na saratani zote ambazo zimekuwa chanzo cha vifo hivyo, huku serikali ikisema imeamua kuongeza juhudi za makusudi kupambana nayo.

Kwa mujibu wa taarifa ya Mfuko wa Bima ya Afya, athari ya magonjwa yasiyoambukiza ni mara nne zaidi ya watu waliopo mijini kuliko vijijini, huku asilimia 12.8 ya wanaougua wakiwa wako mijini na asilimia 3.1 wako vijijini kutokana na mfumo wa maisha.

Uchunguzi mwingine uliofanywa na jopo la madaktari bingwa kuanzia mwaka 2011 hadi 2014 ulibaini asilimia 79 ya watanzania wazee waligundulika kuugua magonjwa ya kisukari, macho na shinikizo la damu. Pia walidai magonjwa hayo yamekuwa kikwazo cha maendeleo kutokana na kuwasumbua wazee na hata wenye umri wa kati ya miaka 25 na 50.

Kisukari ikiwa ni moja ya muuaji wa kimya kimya katika kundi hili la magonjwa yasiyo ya kuambukiza. Watu milioni 285 duniani kote wameathiriwa na kisukari ambayo ni sawa na asilimia 6.6 ya idadi ya watu wote ulimwenguni pia ikishika nafasi ya 5 kwa kusababisha vifo duniani.

Nchi zinazoongoza kwa idadi kubwa ya watu wenye kisukari ni China wagonjwa milioni 43.2, India wagonjwa milioni 40.9, Marekani wagonjwa milioni 25.8, Urusi wagonjwa milioni 9.6 na Brazil wagonjwa milioni 6. Nchi zenye idadi kubwa ya watu wazima wenye kisukari ni Nauru kwa asilimia 30, Bahrain kwa asilimia 25.5, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa asilimia 25, Saudi Arabia kwa asilimia 23.7 na Mauritius kwa asilimia 20
WASILIANA NASI KWA NAMBA HII +255768603979.

TAKWIMU MBALIMBALI ZA UGONJWA WA KISUKARI

Kulingana na ripoti mbalimbali karibu watu milioni 316 ulimwenguni pote wana kiwango kikubwa cha sukari kwenye damu, ingawa wengi wao hawajui wana kiwango hicho. Kwa mfano, nchini Marekani pekee asilimia 90 ya watu wenye sukari nyingi kwenye damu hawatambui kama wana tatizo hilo. Ingawa asilimia 8.3 ya watu watu wa Marekani wana Kisukari ambayo ni sawa na watu milioni 25.8 na kufanya Kisukari cha 7 kusababisha vifo vya watu Marekani.

Mamilioni ya watu wana ugonjwa huo lakini hawana habari! Ni ngumu zaidi kutibu ugonjwa wa kisukari kwa kuwa mtu anaweza kuishi nao kwa muda mrefu kabla haujagunduliwa. Hiyo ndiyo sababu watu husema kwamba ugonjwa huo huua kimyakimya.

KWAMATIBABU NA USHAULI WASILIANA NASI KWA NAMBA HII +255768603979.

NINI CHANZO HASA CHA KISUKARI?

Ili kuelewa vyema ugonjwa wa kisukari ni muhimu kwanza kuelewa namna chakula kinavyovunjwa vunjwa na kutumiwa na mwili ili kuzalisha nguvu. Wakati chakula kinapoyeyushwa matukio kadhaa hutokea. Moja ni sukari inayoitwa glucosi ambayo ni chanzo cha nishati/nguvu mwilini huingia katika damu. Tukio la pili ni kiungo kinachoitwa kongosho (Pancrease) kutengeneza kichocheo cha insulini. Kazi ya insulini ni kuondoa glucosi katika damu na kuingiza katika misuli, seli za mafuta na ini, ambako hutumika kama nishati.

Watu wenye kisukari huwa na kiwango kikubwa cha sukari kwenye damu kuliko inavyotakiwa kwa sababu miili yao haiwezi kupeleka sukari kwenye seli za mafuta, ini na misuli ili ihifadhiwe kwa ajili ya kuzalisha nguvu. Hii ni kutokana na moja ya sababu zifuatazo, huenda kongosho zao haziwezi kutengeneza insulini ya kutosha au seli za mwili wao haziathiriwi na insini kama inavyotakiwa au sababu zote hizo mbili.

Main Symptoms of Diabetes .
Kama wewe ni mnene kupita kiasi, hufanyi mazoezi kwa ukawaida au una watu wa ukoo walio na kisukari, huenda tayari una kiwango cha juu cha sukari kwenye damu. Ongezeko la sukari kwenye damu mbali na kuwa kisababishi cha kisukari, hali hiyo inahusianishwa na hatari ya kupatwa na ugonjwa wa akili uitwao 'DEMENTIA'.

Kula sukari nyingi sio sababu ya ugonjwa wa kisukari. Lakini lazima tuseme kwamba kula sukari nyingi si nzuri kwa afya yako kwani utaongeza uzito wa kuweza kuathiri uwezo wa mwili wako kujikinga na maradhi tofauti. Ugonjwa wa kisukari umeitwa kwa kufaa "ugonjwa unaoathiri kiini cha nishati ya mwili". Mwili unaposhindwa kutumia glukosi, mifumo mbalimbali ya mwili inaweza kuacha kufanya kazi au hata kusababisha kifo.

Ugonjwa wa Kisukari kitaalamu hujulikana kama 'DIABETES MELLITUS'. Jina 'Diabetes Mellitus' linatokana na neno la Kigiriki linalomaanisha 'kunyonya' na neno la Kilatini linalomaanisha 'tamu kama asali'. Maneno hayo yanafafanua vizuri sana ugonjwa huo, kwani maji hupita mwilini mwa mtu aliye na ugonjwa wa kisukari kana kwamba yananyonywa na mdomo na kupitia kwenye njia ya mkojo kisha kutoka nje ya mwili. Isitoshe mkojo huwa na ladha tamu kwa kuwa una sukari. Ndiyo sababu kabla ya kuvumbua njia bora za kupima ugonjwa huo, mbinu moja ya kutambua kama mtu ana ugonjwa wa kisukari ilikuwa kumwaga mkojo wa mgonjwa karibu na kichuguu cha sisimizi. Ikiwa sisimizi wangevutiwa na mkojo huo basi hilo lilimaanisha kwamba mkojo una sukari.

NI NANI ANAWEZA KUWA NA UGONJWA WA KISUKARI?

Watu walio katika makundi yafuatayo wana uwezekano mkubwa wa kupata ugonjwa wa kisukari:-

– Wenye uzito uliozidi,

– Wenye historia ya kuwa na wagonjwa wa kisukari katika familia zao,

– Wanawake waliozaa watoto wenye kilo 4 au zaidi,

– Watu wasiojishughirisha au wasiofanya mazoezi,

– Wenye shinikizo la damu,

– Wenye msongo wa mawazo na

– Wenye matumizi makubwa ya pombe na sigara.

Watu hawa wanashauriwa kupima sukari yao kila mwaka wakiwa na umri wa miaka 45 na kuendelea.

Kuna hatari kubwa ya kuugua ugonjwa huo ikiwa mtu ana mafuta mengi katika tumbo na kiuno chake kuliko katika mapaja yake. Mafuta katika kongosho na ini huvuruga uwezo wa mwili wa kudhibiti kiasi cha sukari kwenye damu.

Wavutaji wa sigara wanakabiliwa na hatari kubwa zaidi kwani zoea hilo hudhuru moyo na mfumo wa mzunguko wa damu na kubana mishipa ya damu. Kitabu kimoja kinasema kwamba asilimia 95 ya watu wanaougua kisukari ambao hulazimika kukatwa viungo ni wavutaji wa sigara.

DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI

~ Kunywa maji mengi kuliko kawaida na kusikia kiu kila wakati.
~ Kwenda haja ndogo mara kwa mara. Watoto kukojoa kitandani.
~ Kuwa dhaifu, kukosa nguvu na kujisikia mchovu kila wakati.
~ Kupungua uzito au kukonda licha ya kula vizuri.
~ Kusikia njaa kila wakati na kula sana.
~ Wanawake kuwashwa ukeni.
~ Kutoona vizuri.
~ Kupungua nguvu za kiume au hamu ya kujamiiana kwa wanawake.
~ Ganzi, kuchomwachomwa au kutohisi unapoguswa sehemu za miguu, viganja na vidole.
~ Miguu kuoza na hata kupata gangrini.
~ Kukaukwa na ngozi na pia kupata aina ya ngazi katika miguu.
~ Vidonda au majeraha sehemu yoyote ya mwili kutopona haraka.
~ Majipu mwilini.

MATIBABU NA USHAURI

BAADA_YA_CHANGAMOTO_KUIKUMBA_JAMII_JOPO LA WATAALAMU/MADAKTARI_WALIOBOBEA_KATIKA AFYA_YA_MWANADAMU_WALIFANYA_TAFITI_YA_NAMNA_YA_KUONDOA_CHANGAMOTO_HIZO_BILA_KUTUMIA_DAWA_AU_VIAMBATA_VYENYE_SUMU_BALI_KUTUMIA_VIRUTUBISHO.

Virutubisho hivyo vimekuwa vikitumiwa na watu wengi kwa zaidi ya mataifa 170 duniani na tunashuhuda nyingi za watu waliopata kuboreshwa kwa afya zao baada ya kutumia virutubisho hivyo.

Kwa Ushauri au Kupata Huduma zetu Kama Uko Dar Es Salaam,Dodoma,Arusha,Mwanza Na Mbeya,Rukwa,Katavi,Singina,Ruvuma,Njombe,Simiyu,Mara...na Popote Ulipo(Tanzania Na Zaidi Ya Nchi 160 Duniani).
Free delivery ndani ya Dar, kama upo mkoani utatumiwa pia ndani na nje ya tanzania .

Kwa maelezo zaidi jinsi unavyoweza kupata bidhaa zinazo ondoa tatizo hilo wasiliana nasi kupitia namba hii +255768603979.

Ni virutubisho asili ambavyo vimeshawasaidia watu wengi saana hapa nchini na Duniani kwa Ujumla. Karibu Upate huduma zetu kwa ushauri pia wasiliana nasi PIGA /TUMA NENO :"Health and wellness is Your Priority".kisha #SULUISHO LA KISUKARI.


kwa mawasiliano: +255768603979“ maamuzi yako ya sasa ni matokeo ya baadaye”
. ///https://web.facebook.com/Yourhealthyourprioritylifestyles/…
https://paulbiswalo.blogspot.com/
https://www.pinterest.com/biswalopaul/
SHARE NA UNAOWAPENDA ILI WAFAIDI ELIMU HII YA BURE.

KWA KUENDELEA KUPATA UP-DATE JUU YA AFYA LIKE PAGE HII NA KUSHARE ELIMU HII YA BURE KWA WENGINE.
 
 
Share:

SULUISHO LA KUTOKWA NA UCHAFU UKENI KWA WANAWAKE WENGI.

SULUISHO LA KUTOKWA NA UCHAFU UKENI KWA WANAWAKE WENGI.

wasiliana nasi kupitia namba hii +255768603979.

Kwa kawaida mwanamke hutokwa na majimaji mepesi (vaginal fluids) yenye rangi nyeupe au ya njano. Inapotokea anatokwa na majimaji yenye ute mzito wenye rangi nyeupe au kahawia na yanatoa harufu kali na muwasho, hiyo huwa ni ishara ya ugonjwa uitwao wa kutokwa uchafu ukeni ujulikanao kwa kitaalamu kama ‘Vaginosis’.

Mwanamke mwenye tatizo hili hujisikia vibaya na anaweza akaacha kushiriki tendo la ndoa ama kwa kuhofia maumivu au kwa kuona aibu kwani mwanaume ni vigumu kuvumilia harufu hiyo au hata kuuona tu huo ute ute kwani humjengea hisia kwamba mwenza wake atakuwa na magonjwa ya zinaa au si mwaminifu kwa ujumla.

Kinachosababisha kutokwa na uchafu ukeni:

👉Kuwa na wapenzi wengi
👉Baadhi ya dawa za uzazi wa mpango
👉Kusafisha uke kwa kutumia dawa na sabuni zenye kemikali
👉Uchafu
👉Uvutaji sigara
👉Pombe
👉Maambukizi ya Bakteria au bakteria wabaya wanapozidi ukeni

DALILI
👉Kutokwa na uchafu usio wa kawaida
👉Kutokwa na uchafu wenye harufu kali kama shombo ya samaki au kitu kilichooza
👉Kuwashwa sehemu za siri na ndani ya uke
👉Uke unaweza kubadilika na kuwa na rangi nyekundu
👉Maumivu sehemu za siri wakati wa kukojoa
👉Maumivu makali chini ya kitovu
👉Kutokwa uchafu uliochanganyika na damu

MATIBABU YAKE.

A)LIQUID SOAP
>Hii ni sabuni ya maji pekee inayo tumika zaidi ya nchi 160 duniani na ambayo haina kemikali na yenye uwezo wa kupenya katika vina saba vya ngozi.
>ina ALOE inayofaa kuosha uso, mikono na kuogea.
>Husafisha sehemu yoyote ya mwili, kuondoa harara, chunusi, upele, miwasho, fangasi, kuua bacteria na kuifanya ngozi iwe nyororo.
>Ni nzuri kuoshea sehemu za siri maana huzuia miwasho na harufu mbaya ukeni.
>Ni nzuri sana kuogeshea watoto kwa kuwa haitoi machozi na hufanya ngozi yake iwe laini na yenye unyevu unaofaa.
>Husaidia matatizo ya ngozi kama pumu ya ngozi - eczema, psoriasis, dermatitis.
>Haiwashi, inafaa sana kwa ngozi yoyote kwa kuwa ina PH sawa na ngozi na hii husaidia kupenya kwenye ngozi na kutoa uchafu wote uliojificha.
Huacha ngozi ikiwa laini na yenye kuvutia.

B)DAILY ALOE
>Hii ni anti-oxidant inayofanya kazi kwa kiwango cha nishati mwilini
>Kuimalisha mfumo wa kinga mwilini, mfumo wa uvunjaji au usagaji chakula
>Nzuri kwa afya ya mfumo wa moyo ,afya ya kibofu cha mkojo urinary trac infection system UTI ,kulinda kibofu cha mkojo na figo etc.

wasiliana nasi kupitia namba hii +255768603979.


C) Ijue ALOEVERA GEL, kinywaji bora cha afya chenye aloe vera nyingi,( 97%).

wasiliana nasi kupitia namba hii +255768603979.

Kinywaji hiki chenye utajiri wa Virutubisho muhimu kama ifuatavyo:-
200 compounds (active enzymes), 75 nutrients, 12 Vitamins, 20 minerals, 18 aminal acids (protein)

Faida zake kwa afya yako:
1. Kuondoa sumusumu mwilini zitokanazo na hewa chafu, vumbi, vyakula vilivyolimwa na mbolea na dawa zenye kemikali, sumu, madawa, vyakula, pombe na vileo, nk.

2. Kuondoa na kuepusha vimbe sehemu yoyote mwilini, mfano mji wa mimba, shingoni, nk.(unakunywa nyingi kwa muda)

3. Kuepusha magonjwa na kuua vijidudu kama virusi. bacteria na fangasi.

4. Kusafisha utumbo mkubwa wa chakula na:
~kuondoa mafuta yanayoganda,
~kuzuia na kusaidia gesi tumboni,
~kupata choo vizuri na kuzuia constipation (choo kigumu), hata kwa mtoto mchanga anayesumbuliwa na chango au kukosa choo (unampa kijiko kimoja cha chai)
~kusaidia mmeng'enyo wa chakula ( virutubisho vifyonzwe vizuri)
~ Kusaidia vidonda vya ndani (ulcers) na nje ya tumbo.

5. Kuongeza kinga mwilini. Na kukuepusha kushambuliwa na magonjwa mara kwa mara.

6. Inasaidia maumivu ya viungo kama miguu na mgongo.

7. Kusaidia wenye magonjwa ya umri km kisukari, presha, nk.

8. Kusaidia kuboresha matatizo mbalimbali ya ngozi km;
~kuifanya iwe nzuri na ya kuvutia,
~kuifanya iwe nyevunyevu,
~kuiondoa ukavu na mikunjokunjo,
~kutengeneza seli mpya na kuondoa seli zilizokufa.
~Kusaidia magonjwa mbalimbali ya ngozi km;aleji, muwasho, chunusi, vinundu vidogodogo vyeusi, makovu, mkanda wa jeshi na upele,

9. Kusaidia ugonjwa wa kupooza (STROKE).
10. Inasafisha mzunguko wa damu, inaimarisha mishipa ya damu na kuyeyusha damu na mafuta yaliyoganda.

11. Inasaidia kuondoa harufu mbaya mdomoni kwa kuua bacteria wabaya wanaokaa kwenye utumbo wa chakula na kuleta harufu mbaya mdomoni. (Kuna watu wanaswaki lakini bado wananuka mdomo)

12. Inasaidia ukuaji wa mwili.
13. Husaidia uchovu sugu, kutopata usingizi vizuri (insomnia), hangover, msongo wa mawazo, (Stress), na mfumo wa fahamu na neva (nervous system).

14. Inaondoa baridi na ganzi kwenye viungo vya mwili, mfano miguu, mikono na vidole.
~Hufaa kwa watu wote, ( mama mja mzito anywe kiwango kidogo sana au atumie Aloe Berry Nectar ambayo ina kiwango kidogo cha aloe vera).

15. Unaweza kunywa wakati unatumia dawa za hospitali ili kusaidia kupunguza madhara yanayoambatana na dawa (side effects). Unakunywa nusu saa kabla ya kumeza dawa za hospital

KUNYWA KWA AFYA, (USISUBIRI UUGUE), JAPO KOPO 2 au moja KWA MWEZI.

#BAADA_YA_CHANGAMOTO_KUIKUMBA_JAMII_JOPO LA WATAALAMU/MADAKTARI_WALIOBOBEA_KATIKA AFYA_YA_MWANADAMU_WALIFANYA_TAFITI_YA_NAMNA_YA_KUONDOA_CHANGAMOTO_HIZO_BILA_KUTUMIA_DAWA_AU_VIAMBATA_VYENYE_SUMU_BALI_KUTUMIA_VIRUTUBISHO.

Virutubisho hivyo vimekuwa vikitumiwa na watu wengi kwa zaidi ya mataifa 170 duniani na tunashuhuda nyingi za watu waliopata kuboreshwa kwa afya zao baada ya kutumia virutubisho hivyo.

Kwa Ushauri au Kupata Huduma zetu Kama Uko Dar Es Salaam,Dodoma,Arusha,Mwanza Na Mbeya,Rukwa,Katavi,Singina,Ruvuma,Njombe,Simiyu,Mara...na Popote Ulipo(Tanzania Na Zaidi Ya Nchi 160 Duniani).

Kwa maelezo zaidi jinsi unavyoweza kupata bidhaa zinazo ondoa tatizo hilo wasiliana nasi kupitia namba hii +255768603979.
Free delivery ndani ya Dar, kama upo mkoani utatumiwa pia ndani ya tanzania.

Ni virutubisho asili ambavyo vimeshawasaidia watu wengi saana hapa nchini na Duniani kwa Ujumla. Karibu Upate huduma zetu kwa ushauri pia wasiliana nasi PIGA /TUMA NENO :"Health and wellness is Your Priority".kisha #SULUISHO LA KUTOKWA NA UCHAFU UKENI KWA WANAWAKE WENGI.

. kwa mawasiliano: +255768603979“maamuzi yako ya sasa ni matokeo ya baadaye”
. ///https://web.facebook.com/Yourhealthyourprioritylifestyles/…
https://paulbiswalo.blogspot.com/
https://www.pinterest.com/biswalopaul/
SHARE NA UNAOWAPENDA ILI WAFAIDI ELIMU HII YA BURE.
 
 
 
 
 
 
 
 
Share:

Popular Posts

Blog Archive

for any assistance.

“Your health is your responsibility, love your health as you love your stuff”. -@Paul Biswalo.

We are looking forward to connect with you.

Our phone number is +255 768 603 979,for only calls/text &
+255 ,for WhatsApp only.
Email-address : biswalopaul@gmail.com.

It's me your lovely friend,
Yours in faithfulness,

-@Paul Biswalo, C.E.O & FOUNDER.
Mentor || Motivational Speaker || Trainer || Event Host || Entrepreneur || Healthy & Life coach || Presenter & Inspirational Public Speaker.
*let's meet all at the Top because is no longer crowded*

Featured post

UNAFAHAMU UMUHIMU NA FAIDA YA KUBORESHA KINGA YA MWILI??????

AFYA YAKO NI JUKUMU LAKO. UNAFAHAMU UMUHIMU NA FAIDA YA KUBORESHA KINGA YA MWILI?????? jiulize swali hili na utafakali vizuri ilik...

Followers

Contact Form

Name

Email *

Message *

Labels

Total Pageviews

Theme Support