Health And Wellness Is Your Priority & Personal Development Mentorship Programs.

“Your health is your responsibility, love your health as you love your stuff”. -@Paul Biswalo.

We are looking forward to connect with you.

Our phone number is +255 768 603 979,for only calls/text &
+255 ,for WhatsApp only.
Email-address : biswalopaul@gmail.com.

It's me your lovely friend,
Yours in faithfulness,

-@Paul Biswalo, C.E.O & FOUNDER.
Mentor || Motivational Speaker || Trainer || Event Host || Entrepreneur || Healthy & Life coach || Presenter & Inspirational Public Speaker.
*let's meet all at the Top because is no longer crowded*

Fahamu ugonjwa wa MASUNDO SUNDO (genital warts) jinsi ulivyo kuwa hatari kwa afya yako. WASILIANA NASI KWA USHAURI NA TIBA PIA Kwa namba hii +255768603979.

Fahamu ugonjwa wa MASUNDO SUNDO (genital warts) jinsi ulivyo kuwa hatari kwa afya yako.

WASILIANA NASI KWA USHAURI NA TIBA PIA Kwa namba hii +255768603979.

Habari ndugu msomaji,Natumai uko vyema na unapambana kuhakikisha unatimiza malengo yako ya mwaka huu unaoingia ukingoni.

Leo tutazungumzia ugonjwa wa masundosundo au wengine huuita mafingo fingo na kitaalamu unaitwa "genital warts".

Huu ni ugonjwa wa virusi na huambukizwa kwa kugusana na mtu mwenye tatizo hili hususani kwa sehemu zenye maji maji kama vile jasho kwenye ngozi,mate wakati wa kiss na njia ya kujamiiana na mtu mwenye ugonjwa huu hatari.

ugonjwa huu huweza kushambulia sehemu yoyote ya mwili hata kwenye ngozi ila kwa miaka ya karibuni umekua ukiathiri sana sehemu za siri kutokana na watu kuendekeza ngono zembe.

HABARI KIUNDANI KUHUSU UGONJWA HUU.

Huu ni ugonjwa wa virusi unaoitwa kitaalam kama "Human papilloma virus" ambao hushambulia sehemu ya ngozi mwilini ila kwa sasa umeenea zaidi kwenye sehemu za siri kama vile kwenye uke,uume au sehemu ya haja kubwa.

Huambatana na dalili za kuota vinyama sehemu hizo ambapo huanza kuwa vingi halafu vidogo vidogo na baadae kuwa vikubwa..Vinyama hivi huwa kama vipele ila mda unavyo zidi kwenda vinakua kama vidole na mwishowe huweza kuziba kabisa njia ya uzazi kwa mwanamke au njia ya haja kubwa na pia huweza kubadili kabisa mwonekano wa uume.

Kiufupi ni ugonjwa mbaya sana na huharibu kabisa muonekano wa maumbike halisi ya mhusika ambaye ana ugonjwa huu hatari kwa afya.

wanawake wanashambuliwa sana na ugonjwa huu kutokana na maumbile yao na ile hali ya maji maji ukeni kuwa mazingira rafiki na mazuri kwa hao virusi kujishikiza na kuweka makazi ya kudumu.

Changamoto ya ugonjwa huu ni kwamba unapojaribu kukata hivyo vinyama ndipo unasababisha viote zaidi na zaidi.
Mahospitalini wanakata ,mwishoni vinazidi kuota na kuenea ambapo huleta sura mbaya ya maumbile yako.

JINSI UGONJWA UNAVYO ENEZWA.

-Unaweza kuambukizwa kwa mgusano wa ngozi baina yako na mtu wenye ugonjwa huu hatari kwa afya.
Unawesa kuambukizwa kwa kubadilishana mate/ku-kiss.

-Njia kubwa zaidi ni kupitia ngono zembe ambapo msuguano na kushikana kwa maji maji husababisha virusi kuingia sehemu za ziri na kuweka makazi ya kudumu maana mazingira ya uke ni mazuri sana na ni kivutio cha kuweka makazi ya kudumu ukeni.

-Pia huenezwa kwa kufanya ngono kinyume na maumbile.

CHANGAMOTO ZA UGONJWA HUU.

**Mgonjwa anakua hafurahii tendo la ndoa**
**Maumivu wakati wa tendo**

**kupoteza mvuto na kuonaa aibu na kinayaa inayotokana na harufu mbaya kwa mwenzako**

**inaweza kukuharibu kisaikolojia pia**

CHANGAMOTO ZA KUTIBU.

kikawaida virusi hawa ni wagumu sana kuuliwa na dawa za hospitalini na hivyo ugonjwa huu unasumbua sana kuutibu.
mara nyingi hospitalini wanakata vile vinyama ila mwisho wa siku vinaota tena na tena kwa kasi ya ajabu ambapo huwa makubwa zaidi na kupelekea kuziba njia ya uke au haja kubwa.

Usipodhibitiwa huweza kusababisha saratani ya shingo ya uzazi kwa mwanamke maana huingia ndani ukeni na kuua sehemu za ndani na hivyo unaweza kuwa mgumba au kuharibu mimba.

Dawa nyingi za hospitali hazijaleta mafanikio kutibu tatizo hili.

Jinsi ya kudhibiti ugonjwa huu ni kuuwa mazingira ya virusi kuzaliana kwa kutumia anti virus na sio kukata vinyama hivo.

Nirudie tena kwamba "anti virus" za hospitali bado hazijaleta manufaa makubwa kwenye tiba.

Tufanyeje sasa?????

HABARI NJEMA

unachoweza kutumia na kufanikiwa ni kutumia "anti virus" za asili tuu.

Na hizi zipo chache na adimu kupatikana ila kama upo serious unaweza kuzipata.

Kutokana na maadili hatuwezi kuweka kila kitu hadharani huku mtandaoni;....tumeanzisha semina kwa ajili ya kusaidiana zaidi na jinsi ya kupata msaada zaidi.hapa hapa "HEALTH AND WELLNESS IS YOUR PRIORITY"kwa kukutana na wataalamu wetu kupitia mawasiliano ,WASILIANA NASI KWA USHAURI NA TIBA PIA Kwa namba hii +255768603979.

Ili kumlinda anayehitaji maongezi zaidi tutafute kwa namba yetu hiyo.


BAADA_YA_CHANGAMOTO_KUIKUMBA_JAMII_JOPO LA WATAALAMU/MADAKTARI_WALIOBOBEA_KATIKA AFYA_YA_MWANADAMU_WALIFANYA_TAFITI_YA_NAMNA_YA_KUONDOA_CHANGAMOTO_HIZO_BILA_KUTUMIA_DAWA_AU_VIAMBATA_VYENYE_SUMU_BALI_KUTUMIA_VIRUTUBISHO.

Virutubisho hivyo vimekuwa vikitumiwa na watu wengi kwa zaidi ya mataifa 170 duniani na tunashuhuda nyingi za watu waliopata kuboreshwa kwa afya zao baada ya kutumia virutubisho hivyo.

Kwa Ushauri au Kupata Huduma zetu Kama Uko Dar Es Salaam,Dodoma,Arusha,Mwanza Na Mbeya,Rukwa,Katavi,Singina,Ruvuma,Njombe,Simiyu,Mara...na Popote Ulipo(Tanzania Na Zaidi Ya Nchi 160 Duniani).
Free delivery ndani ya Dar, kama upo mkoani utatumiwa pia ndani na nje ya tanzania .

Kwa maelezo zaidi jinsi unavyoweza kupata bidhaa zinazo ondoa tatizo hilo wasiliana nasi kupitia namba hii +255768603979.

Ni virutubisho asili ambavyo vimeshawasaidia watu wengi saana hapa nchini na Duniani kwa Ujumla. Karibu Upate huduma zetu kwa ushauri pia wasiliana nasi PIGA /TUMA NENO :"Health and wellness is Your Priority".kisha #SULUISHO LA Ugonjwa wa maundosundo.


kwa mawasiliano: +255768603979“ maamuzi yako ya sasa ni matokeo ya baadaye”
. ///https://web.facebook.com/Yourhealthyourprioritylifestyles/…
https://paulbiswalo.blogspot.com/
https://www.pinterest.com/biswalopaul/
SHARE NA UNAOWAPENDA ILI WAFAIDI ELIMU HII YA BURE.

KWA KUENDELEA KUPATA UP-DATE JUU YA AFYA LIKE PAGE HII NA KUSHARE ELIMU HII YA BURE KWA WENGINE.


Share:

No comments:

Post a Comment

warmly welcome

contact us via +255 768 603 979.

Popular Posts

Blog Archive

for any assistance.

“Your health is your responsibility, love your health as you love your stuff”. -@Paul Biswalo.

We are looking forward to connect with you.

Our phone number is +255 768 603 979,for only calls/text &
+255 ,for WhatsApp only.
Email-address : biswalopaul@gmail.com.

It's me your lovely friend,
Yours in faithfulness,

-@Paul Biswalo, C.E.O & FOUNDER.
Mentor || Motivational Speaker || Trainer || Event Host || Entrepreneur || Healthy & Life coach || Presenter & Inspirational Public Speaker.
*let's meet all at the Top because is no longer crowded*

Featured post

UNAFAHAMU UMUHIMU NA FAIDA YA KUBORESHA KINGA YA MWILI??????

AFYA YAKO NI JUKUMU LAKO. UNAFAHAMU UMUHIMU NA FAIDA YA KUBORESHA KINGA YA MWILI?????? jiulize swali hili na utafakali vizuri ilik...

Followers

Contact Form

Name

Email *

Message *

Labels

Total Pageviews

Theme Support