Health And Wellness Is Your Priority & Personal Development Mentorship Programs.

“Your health is your responsibility, love your health as you love your stuff”. -@Paul Biswalo.

We are looking forward to connect with you.

Our phone number is +255 768 603 979,for only calls/text &
+255 ,for WhatsApp only.
Email-address : biswalopaul@gmail.com.

It's me your lovely friend,
Yours in faithfulness,

-@Paul Biswalo, C.E.O & FOUNDER.
Mentor || Motivational Speaker || Trainer || Event Host || Entrepreneur || Healthy & Life coach || Presenter & Inspirational Public Speaker.
*let's meet all at the Top because is no longer crowded*

TUNAFURAHI SANA PALE TUNAPOPATA MREJESHO CHANYA KUTOKA KWA WATEJA WETU. TUNAJUA MAISHA YA WATU YANAENDA KUBALIKA.

TUNAFURAHI SANA PALE TUNAPOPATA MREJESHO CHANYA KUTOKA KWA WATEJA WETU. TUNAJUA MAISHA YA WATU YANAENDA KUBALIKA.

wasiliana nasi kupitia namba hii +255768603979.

YAWEZEKANA NA WEWE UNA CHANGAMOTO KAMA HIZI. FOREVER MULTI-MACA INAWEZA KUWA MKOMBOZI WAKO. INASAIDIA KWENYE;

1. KUONGEZA HAMU YA TENDO LA NDOA, STAMINA NA NGUVU.
2. KUBORESHA MSUKUMO WA DAMU AMBAYO NI MUHIMU KWENYE NGUVU ZA KIUME.
3. KUZUIA UKUAJI WA TEZI DUME.
4. KUONGEZA IDADI NA UBORA WA MBEGU.
5. KUPUNGUZA ATHARI ZA MSONGO WA MAWAZO KWENYE MWILI.
6. INARUTUBISHA MAYAI.

BAADA_YA_CHANGAMOTO_KUIKUMBA_JAMII_JOPO LA WATAALAMU/MADAKTARI_WALIOBOBEA_KATIKA AFYA_YA_MWANADAMU_WALIFANYA_TAFITI_YA_NAMNA_YA_KUONDOA_CHANGAMOTO_HIZO_BILA_KUTUMIA_DAWA_AU_VIAMBATA_VYENYE_SUMU_BALI_KUTUMIA_VIRUTUBISHO.

Virutubisho hivyo vimekuwa vikitumiwa na watu wengi kwa zaidi ya mataifa 170 duniani na tunashuhuda nyingi za watu waliopata kuboreshwa kwa afya zao baada ya kutumia virutubisho hivyo.

Kwa Ushauri au Kupata Huduma zetu Kama Uko Dar Es Salaam,Dodoma,Arusha,Mwanza Na Mbeya,Rukwa,Katavi,Singina,Ruvuma,Njombe,Simiyu,Mara...na Popote Ulipo(Tanzania Na Zaidi Ya Nchi 160 Duniani).

Kwa maelezo zaidi jinsi unavyoweza kupata bidhaa zinazo ondoa tatizo hilo wasiliana nasi kupitia namba hii +255768603979.
Free delivery ndani ya Dar, kama upo mkoani utatumiwa pia ndani ya tanzania.

Ni virutubisho asili ambavyo vimeshawasaidia watu wengi saana hapa nchini na Duniani kwa Ujumla. Karibu Upate huduma zetu kwa ushauri pia wasiliana nasi PIGA /TUMA NENO :"Health and wellness is Your Priority".kisha #SULUHISHO KWA UDHAIFU WA TENDO LA NDOA.
. kwa mawasiliano: +255768603979“maamuzi yako ya sasa ni matokeo ya baadaye”
. ///https://web.facebook.com/Yourhealthyourprioritylifestyles/…

SHARE NA UNAOWAPENDA ILI WAFAIDI ELIMU HII YA BURE.
 
 
 
 
Share:

MAAMBUKIZI KATIKA VIA VYA uzazi(pelvic inflammatory Disease-P. I.D).

HABARI ZA LEO WAPENDWA.

wasiliana nasi kupitia namba hii +255768603979.

Leo napenda tujifunze somo liitwalo MAAMBUKIZI KATIKA VIA VYA uzazi(pelvic inflammatory Disease-P. I.D).

P. I. D ni nini?
-niugonjwa ambao hushambulia mfumo wa uzazi wa mwanamke, ni mijawapo ya magonjwa yanayoambukizwa kwa Njiaa ya kujamiiana kwa wanawake.

SEHEMU ZINAZO ATHIRIWA
1.mfuko wa uzazi
2.ovary
3.milija ya falopia,pamoja na sehemu nyinginezo Katika mfumo wa uzazi wa mwanamke.

>kwakawaida mlango wa uzazi huzuia bacteria kuingia katika mfumo wa uzazi wanaokuja kupitia utupu WA mwanamke amabao wadudu hao husambaa mpaka ndani ya mfumo wote sasa kama mwanamke ataambukizwa na magonjwa ya zinaa kama kisonono, kaswende, namengine mlango wa uzazi nao unakuwa umeathiriwa na hautakuwa na uwezo WA kuzuia bacteria hao au itakuwa inakiwango kidogo cha kuzuia wadudu hao.

Kwa ufupi ugonjwa huu husababishwa Na mwanamke kuambukizwa na magonjwa ya zinaa.

SABABU NYINGINE ZA UGONJWA huu
1.utoaji wa mimba usio salama
2.hata wakati wa kujifungua kusiko salama.

DALILI ZAKE

-maumivu makali ya tumbo au maeneo ya chini ya tumbo au maumivu sehemu ya juu ya upande wa kulia mwa tumbo
2.uke kuvuja au kutokwa na uchafu wa njano au kijani na ukiwa na harufu
3.maumivu wakati WA kukojoa
4.homa Kali
5.kutapika pamoja na chafya
6.maumivu makali wakati wa kujamiiana
7.kuwashwa maeneo ya uke ndani na NJE

MADHARA KTK UZAZI YATOKANAYO NA MAAMBUKIZI KATIKA UZAZI

-kuvurukika kwa mpangilio wa homoni (hormones imbalance)
-michubuko na kuziba kwa milija ya falopia
-kuwa na mzunguko mfupi au kukosa kabisa
-husababisha uvimbe kunako milija, mfuko wa uzazi na eneo lote la via vya izazi.

NAMNA YA KUJIKINGA

-kuacha ngono zembe
-kuwa na mpenzi mmoja
-epuka matumizi ya pombe
-kuwa na usafi au kuzingatia usafi na kufanya vipimo Mara kwa mara

MATIBABU
-Mara utakapo jisikia dalili tajwa hapo juu nenda hospitali dakitali atakufanyia vipimo kama vile, vipimo vya maambukizi ya magonjwa ya zinaa, kipimo cha damu ,kipimo cha pelvic na matiti, kipimo.


BAADA_YA_CHANGAMOTO_KUIKUMBA_JAMII_JOPO LA WATAALAMU/MADAKTARI_WALIOBOBEA_KATIKA AFYA_YA_MWANADAMU_WALIFANYA_TAFITI_YA_NAMNA_YA_KUONDOA_CHANGAMOTO_HIZO_BILA_KUTUMIA_DAWA_AU_VIAMBATA_VYENYE_SUMU_BALI_KUTUMIA_VIRUTUBISHO.

Virutubisho hivyo vimekuwa vikitumiwa na watu wengi kwa zaidi ya mataifa 170 duniani na tunashuhuda nyingi za watu waliopata kuboreshwa kwa afya zao baada ya kutumia virutubisho hivyo.

Kwa Ushauri au Kupata Huduma zetu Kama Uko Dar Es Salaam,Dodoma,Arusha,Mwanza Na Mbeya,Rukwa,Katavi,Singina,Ruvuma,Njombe,Simiyu,Mara...na Popote Ulipo(Tanzania Na Zaidi Ya Nchi 160 Duniani).

Kwa maelezo zaidi jinsi unavyoweza kupata bidhaa/VIRUTUBISHO zinazo ondoa tatizo hilo wasiliana nasi kupitia namba hii +255768603979.
Free delivery ndani ya Dar, kama upo mkoani utatumiwa pia ndani ya tanzania.

Ni virutubisho asili ambavyo vimeshawasaidia watu wengi saana hapa nchini na Duniani kwa Ujumla. Karibu Upate huduma zetu kwa ushauri pia wasiliana nasi PIGA /TUMA NENO :"Health and wellness is Your Priority".kisha #SULUHISHO KWA MGONJWA MWENYE TATIZO LA MAAMBUKIZI KATIKA VIA VYA uzazi(pelvic inflammatory Disease-P. I.D)..
. kwa mawasiliano: +255768603979“maamuzi yako ya sasa ni matokeo ya baadaye”
. ///https://web.facebook.com/Yourhealthyourprioritylifestyles/…

SHARE NA UNAOWAPENDA ILI WAFAIDI ELIMU HII YA BURE.

Share:

OKOA NDOA YAKO KWA KUIMARISHA TENDO LA NDOA KWANI TENDO LA NDOA NDICHO KIUNGANISHI CHA FAMILIA YAKO.

DALILI ZA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME.

OKOA NDOA YAKO KWA KUIMARISHA TENDO LA NDOA KWANI TENDO LA NDOA NDICHO KIUNGANISHI CHA FAMILIA YAKO.

wasiliana nasi kupitia namba hii +255768603979.

Mwanaume anayekabiliwa na tatizo la ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume huonyesha dalili zifuatazo:-

1. Kutokuwa na uwezo wa kusimamisha uume wake barabara. Kwa kawaida uume wa mwanaume aliyekamilika (rijali ) unaposimama, hutakiwa kuwa imara kama msumari, lakini kwa mwanaume anaye kabiliwa na tatizo hili uume wake hata ukisimama hubakia kuwa lege lege na huweza kusinyaa wakati wowote. Tatizo hili ni matokeo ya kulegea kwa mishipa ya uume. Mishipa ya uume ndio inayo ufanya uume usimame barabara.

Mishipa hii inapokuwa imelegea, uume hauwezi kusimama barabara hata iweje. Kulegea kwa mishipa ya kiume kunasababishwa na upigaji wa punyeto kwa muda mrefu. Mtu anaye piga punyeto anakuwa kulegea kwa misuli ya uume misuli ndo inaufanya uume kusimama vizuri.

2.kutokuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa mara moja. Hii husababishwa na kutokuwa na msukumo mzuri wa damu wa kutosha kwenye mishipa ya uume.

3. Kutojisikia hamu ya tendo la ndoa. Hili ni matokeo ya kuwa na msongo wa mawazo.
4. Kufika kileleni mapema.
5. Kutokuwa na uwezo wa kusimamisha kabisa. Hali hii hutokea pindi tatizo la kutokuwepo kwa msukumo wa damu wa kutosha kwenye mishipa ya uume linapokuwa limekomaa.

6.Uume kusinyaa na kurudi ndani. Hapa uume wa mwanaume unakuwa umesinyaa na kurudi ndani. Uume huu unakuwa hauna uwezo wa kukamilisha tendo la ndoa hali hii husababishwa na upigaji punyeto kw a mda mrefu pia magonjwa hasa chango lá kiume au ngiri.

PIA VYANZO VIKUU VYA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME.
.upigaji punyeto wa mda mrefu
.msongo wa mawazo
.ugonjwa wa kisukari
.shinikizo lá damu (pressure
.kupooza kwa mwili
.kuugua chango la kiume
.ulevi ulokithiri
.woga wa kufanya tendo la ndoa
.kuwa na wasiwasi wa kumudu kutekeleza tendo la ndoa
.uzoefu wa kukatisha tamaa wa siku za nyuma
.ulaji mbovu wa vyakula vya kisasa na vyenye mafuta kupita kiasi
.mazingira yasiyoridhisha wakati wa tendo la ndoa .

BAADA_YA_CHANGAMOTO_KUIKUMBA_JAMII_JOPO LA WATAALAMU/MADAKTARI_WALIOBOBEA_KATIKA AFYA_YA_MWANADAMU_WALIFANYA_TAFITI_YA_NAMNA_YA_KUONDOA_CHANGAMOTO_HIZO_BILA_KUTUMIA_DAWA_AU_VIAMBATA_VYENYE_SUMU_BALI_KUTUMIA_VIRUTUBISHO.

Virutubisho hivyo vimekuwa vikitumiwa na watu wengi kwa zaidi ya mataifa 170 duniani na tunashuhuda nyingi za watu waliopata kuboreshwa kwa afya zao baada ya kutumia virutubisho hivyo.

Kwa Ushauri au Kupata Huduma zetu Kama Uko Dar Es Salaam,Dodoma,Arusha,Mwanza Na Mbeya,Rukwa,Katavi,Singina,Ruvuma,Njombe,Simiyu,Mara...na Popote Ulipo(Tanzania Na Zaidi Ya Nchi 160 Duniani).

Kwa maelezo zaidi jinsi unavyoweza kupata bidhaa/VIRUTUBISHO zinazo ondoa tatizo hilo wasiliana nasi kupitia namba hii +255768603979.
Free delivery ndani ya Dar, kama upo mkoani utatumiwa pia ndani ya tanzania.

Ni virutubisho asili ambavyo vimeshawasaidia watu wengi saana hapa nchini na Duniani kwa Ujumla. Karibu Upate huduma zetu kwa ushauri pia wasiliana nasi PIGA /TUMA NENO :"Health and wellness is Your Priority".kisha #SULUHISHO KWA MGONJWA MWENYE TATIZO LA KUTOFIKA KILELENI KAMA INAVYOTAKIWA/UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.
. kwa mawasiliano: +255768603979“maamuzi yako ya sasa ni matokeo ya baadaye”
. ///https://web.facebook.com/Yourhealthyourprioritylifestyles/…

SHARE NA UNAOWAPENDA ILI WAFAIDI ELIMU HII YA BURE.
Share:

fursa ya biashara kutoka kwa paul biswalo

Share:

"SEMINA YA BIASHARA KWA ANAYEHITAJI KUFANIKIWA KATIKA MAISHA YAKE"

"SEMINA YA BIASHARA KWA ANAYEHITAJI KUFANIKIWA KATIKA MAISHA YAKE"

Biashara inayowafanya watu kufanikiwa kupitia mtaji mdogo sana,karibu ujifunze jinsi ya kufikia ndoto zako ukiwa bado na nguvu,haijalishi ni kipindi kigumu namna gani katika nchi hii.

wasiliana na namba hii +255768603979 ,kuweka nafasi ya kuhudhuria kupitia simu au kompyuta.
utakutanana na watuwalioanza na mtaji mdogo sana na waliopitia maisha magumu na sasa wamefanikiwa,walio tayari kukufundisha na wewe ufanikiwe.

Time: Sep 27, 2017 8:00 PM Nairobi
Every day, until Oct 03, 2017, 7 occurrence(s)
Sep 27, 2017 8:00 PM
Sep 28, 2017 8:00 PM
Sep 29, 2017 8:00 PM
Sep 30, 2017 8:00 PM
Oct 1, 2017 8:00 PM
Oct 2, 2017 8:00 PM
Oct 3, 2017 8:00 PM
Daily: https://zoom.us/meeting/593762817/ics…
Join from PC, Mac, Linux, iOS or Android: https://zoom.us/j/593762817?pwd=d1-fps3k0mw
Password: biswalo
Meeting ID: 593 762 817
International numbers available: https://zoom.us/zoomconference…

#walioshindwa kupambana na hali yao
Share:

NJIA RAHISI ZA KUONDOA STRETCH MARKS ( MISTARI) KWENYE NGOZI YAKO.

NJIA RAHISI ZA KUONDOA STRETCH MARKS ( MISTARI) KWENYE NGOZI YAKO.

kwa mawasiliano: +255768603979. “maamuzi yako ya sasa ni matokeo ya baadaye”.
 
Stretch marks ni mistari inayoonekana baada ya ngozi kuvutika, huenda ilivutika wakati wa kubeba ujauzito ama wakati umeongezeka uzito ghafla, wengine wanaita mistari ya utamu ikitokea miguuni na mapajani, stretch marks ni matokeo ya unene ama kuvutika kwa ngozi na kitaalam inaitwa striae gravidarum.

Stretch marks hutokea kwa wadada na wakina mama wote na pia wanaume, mistari hii hutokea chini ya tumbo, maeneo ya kiuno, kifuani kwa wadada, kwenye makalio, nyuma ya miguu, kwenye mapaja, mikononi na hata mgongoni.

Zipo njia za kitaalam na kitabibu zilizothibitishwa ambazo zinaweza kukuondolea stretch marks kabisa lakini kwenye makala hii sitazungumzia hizo njia, hapa nitazungumzia kuondoa stretch marks kwa njia ya kawaida bila gharama kubwa.

Katika ngozi ya baadhi ya watu, kuna aina Fulani ya mistari ambayo huonekana kama alama iliyobaki baada ya mtu kuumia, huonekana kama kovu, lakini siyo kovu na wala mtu hakupata ajari au kuumizwa na kitu chochote.

Mara nyingi alama hizi za michirizi humtokea mtu maeneo ambayo kwa asilimia kubwa huwa na mafuta (fat), mfano katika mwili hutokea mara nyingi kwenye mapaja, upande wa juu wa mikono (biceps), tumboni, kwenye makalio, pia kwa baadhi ya watu hutokea maeneo ya kifuani au kwenye matiti kwa wanawake.

Mpenzi msomaji, kwa kawaida michirizi hii huwa haimletei mtu maumivu ya aina yoyote, bali jambo kubwa huwa ni kuubadili muonekano wa ngozi ya mtu. Kwa baadhi ya watu michirizi hii huwa ni mikubwa sana, na kwa namna moja au nyingine humnyima mtu uhuru au humfanya mtu asiwe na amani pindi anapokuwa mbele za watu kwa kutegemeana na michirizi hiyo imetokea sehemu gani ya mwili.

Kabla hatujaangalia namna alama hizi zinavyotokea, tukumbushane sehemu muhimu za ngozi. Ngozi imegawanyika katika sehemu kuu tatu, sehemu ya nje (Epidermis), sehemu ya kati (Dermis) na sehemu ya ndani (Hypodermis).

Alama hutokea baada ya sehemu ya kati ya ngozi, dermis, kutanuka ghafla ndani ya muda mfupi kutokana na vitu kama mazoezi makali (kunyanyua vitu vizito), mtu kuongezeka uzito ghafla au obesity, pia kuna baadhi ya dawa au homoni (Glucocorticoids), ambazo kwa namna moja au nyingine huathiri tishu za kwenye ngozi na hivyo kupelekea mtu akapata alama za michirizi. Ujauzito kwa baadhi ya wanawake na pia mambo ya kurithi yameonekana kuchangia mtu kupata alama hizi katika ngozi yake.

Yawezekana alama hizi ni kero katika ngozi yako, miongoni mwa njia ambazo zinatumika kutatua au kupunguza ukali wa muonekano wa alama hizi ni:
Kwanza kabisa mpenzi msomaji, ni kuangalia chanzo ni nini, je ni uzito kuongezeka ghafla?, na baada ya kugundua chanzo, chukua hatua zinazostahili, na kama chanzo ni mazoezi au kunyanyua vitu vizito, ongea na mwalimu wako wa mazoezi ili akupangie utaratibu mzuri wa mazoezi.
Pia matumizi ya mafuta ya kujipakaa yenye mchanganyiko wa vitamini E husaidia kuijenga ngozi na kutoa makovu na michirizi. Ulaji wa vyakula na kunywa vinywaji vyenye vitamini A, D na E huimarisha ngozi.

Tumia vipande vidogo vidogo vya viazi kufuta sehemu ya ngozi yenye michirizi, ruhusu juisi au maji maji ya kwenye viazi yakae katika ngozi, na kisha baadae unaweza kuosha ngozi yako kwa maji ya vuguvugu, kwani viazi vina madini na vitamini ambazo zikinyonywa katika ngozi, husaidia kuondoa michirizi.

Mafuta ya Aloe vera, pakaa mafuta haya katika ngozi yenye michirizi, pia unaweza kuyachanganya na vitamini A na ukapakaa ngozi yako.Na mafuta hayo ya aloe vera siyo yote ni mazuri kwaajili ya ngozi yako maana wengi wanachora majani ya aloe vera iliwauze kisa wamesikia maloe vera kuwa ni mzuri kwa afya wakati ndani kuna kemikali kibao wala hakuna hata aloe vera.kuwa makini na kama hujui ni aina gani ya aloe vera inayotakiwa kutumika tafadhari wasiliana nasi kupitia namba hii +255768603979 ili kupata maelekezo mazuri mpendwa wetu.

Katika ngozi yenye michirizi, pakaa juisi iliyotokana na malimao, limao linayo tindikali asilia, organic acid, ambayo husaidia kuponyesha makovu na michirizi ya ngozi.pamoja na sabuni ya stabilized aloe vera ambayo ni rafiki na ngozi zetu inayouwezo mkubwa wa kuondoa michirizi kwenye ngozi.

Mpenzi msomaji, maji pia ni muhimu katika afya yako, maji husaidia kuondoa sumu mbalimbali mwilini kupitia ngozi na hivyo hukuwezesha kuwa na ngozi yenye afya zaidi.
pia kuna vitu vingine vingi sana ambavyo unatakiwa kutumia ,ukiwasiliana nasi tutakusaidia sana kuondoa matatizo haya kwenye ngozi yako.

Matatizo haya ya michirizi humfanya mwanamke/mwanaume apoteze hamu ya tendo la ndoa na mwili kukosa hamasa ya kimapenzi na mwenzi wake kutokana na sababu ya kutoa harufu mbaya na kuvutia ,halii huwafanya wapenzi hawa kukosa raha kabisa katika mahusiano yao.

Hitimisho
Unashauriwa baada ya kuona badhi ya dalili hizo ni vizuri kuwasiliana nasi ilikunusu matatizo mengine ambayo yanaweza kukumba.

Kwa Ushauri au Kupata Huduma zetu Kama Uko Dar Es Salaam,Dodoma,Arusha,Mwanza Na Mbeya,Rukwa,Katavi,Singina,Ruvuma,Njombe,Simiyu,Mara...na Popote Ulipo(Tanzania Na Zaidi Ya Nchi 160 Duniani).

Kwa maelezo zaidi jinsi unavyoweza kupata bidhaa zinazo ondoa tatizo hilo wasiliana nasi kupitia namba hii +255768603979.

Free delivery ndani ya Dar, kama upo mkoani utatumiwa pia ndani ya tanzania.
Ni virutubisho asili ambavyo vimeshawasaidia watu wengi saana hapa nchini na Duniani kwa Ujumla. Karibu Upate huduma zetu kwa ushauri pia wasiliana nasi PIGA /TUMA NENO :"Health and wellness is Your Priority".kisha #SULUHISHO KWA MGONJWA MWENYE TATIZO LA KUWAHI KUFIKA KILELENI KWA MWANAUME.
. kwa mawasiliano: +255768603979“maamuzi yako ya sasa ni matokeo ya baadaye”
. ///https://web.facebook.com/Yourhealthyourprioritylifestyles/
www.paulbiswalo.blogspot.com/

SHARE NA UNAOWAPENDA ILI WAFAIDI ELIMU HII YA BURE.


Share:

"Understanding Mind Change and Success"

Hello friends!
You are invited to attend a session on "Understanding Mind Change and Success"
We will cover the advantages of being alive in 21st Century.
When: Tuesday 26, September.
Venue: Victoria Tan House, floor 2.
Time: From 10am to 12:30.
Dress code smart and presentable.
NB: BE ON TIME.
Regards,
-Paul Biswalo.
call this number for reservation of your seat:+255768603979.
Add caption

Share:

the Effects of Testosterone on the Body.


the Effects
of Testosterone
on the Body.

Testosterone is a vital male hormone that is responsible for the development and maintenance of male attributes. Women also have testosterone, but in much smaller amounts.

It All
Starts Here
Another Hormone Maker
Sperm Production
Libido
The
Control Center
Skin Issues
Fat Metabolism
Heart Health
The Messenger
The
Main Source
Genital Transformation
Behavioral Traits
Beard and Body Hair
Muscle Mass
Bone Density
In the Bloodstream

Testosterone is a vital male hormone that is responsible for the development and maintenance of male attributes. Women also have testosterone, but in much smaller amounts.
The Effects of Testosterone on the Body

Testosterone is an important male hormone. A male begins to produce testosterone as early as seven weeks after conception. Testosterone levels rise during puberty, peak during the late teen years, and then level off. After age 30 or so, it’s normal for a man’s testosterone levels to decrease slightly every year.

Most men have more than enough testosterone. But, it’s possible for the body to produce too little testosterone. This leads to a condition called hypogonadism. This can be treated with hormonal therapy, which requires a doctor’s prescription and careful monitoring. Men with normal testosterone levels should not consider testosterone therapy.

Testosterone levels affect everything in men from the reproductive system and sexuality to muscle mass and bone density. It also plays a role in certain behaviors.
Endocrine System

The body’s endocrine system consists of glands that manufacture hormones. The hypothalamus, located in the brain, tells the pituitary gland how much testosterone the body needs. The pituitary gland then sends the message to the testicles. Most testosterone is produced in the testicles, but small amounts come from the adrenal glands, which are located just above the kidneys. In women, the adrenal glands and ovaries produce small amounts of testosterone.

Before a boy is even born, testosterone is working to form male genitals. During puberty, testosterone is responsible for the development of male attributes like a deeper voice, beard, and body hair. It also promotes muscle mass and sex drive. Testosterone production surges during adolescence and peaks in the late teens or early 20s. After age 30, it’s natural for testosterone levels to drop by about one percent each year.
Reproductive System

About seven weeks after conception, testosterone begins helping form male genitals. At puberty, as testosterone production surges, the testicles and penis grow. The testicles produce a steady stream of testosterone and make a fresh supply of sperm every day.

Men who have low levels of testosterone may experience erectile dysfunction (ED). Long-term testosterone therapy can cause a decrease in sperm production. Testosterone therapy also may cause enlarged prostate, and smaller, softer testicles. Men who have prostate or breast cancer should not consider testosterone replacement therapy.
Sexuality

During puberty, rising levels of testosterone encourage the growth of the testicles, penis, and pubic hair. The voice begins to deepen, and muscles and body hair grow. Along with these changes comes growing sexual desire.

There’s a bit of truth to the “use it or lose it” theory. A man with low levels of testosterone may lose his desire for sex. Sexual stimulation and sexual activity cause testosterone levels to rise. Testosterone levels can drop during a long period of sexual inactivity. Low testosterone can also result in erectile dysfunction (ED).
Central Nervous System

The body has a system for controlling testosterone, sending messages through hormones and chemicals that are released into the bloodstream. In the brain, the hypothalamus tells the pituitary gland how much testosterone is needed, and the pituitary relays that information to the testicles.

Testosterone plays a role in certain behaviors, including aggression and dominance. It also helps to spark competitiveness and boost self-esteem. Just as sexual activity can affect testosterone levels, taking part in competitive activities can cause a man’s testosterone levels to rise or fall. Low testosterone may result in a loss of confidence and lack of motivation. It can also lower a man’s ability to concentrate or cause feelings of sadness. Low testosterone can cause sleep disturbances and lack of energy.

It’s important to note, however, that testosterone is only one factor that influences personality traits. Other biological and environmental factors are also involved.
Skin and Hair

As a man transitions from childhood to adulthood, testosterone spurs the growth of hair on the face, in the armpits, and around the genitals. Hair also may grow on the arms, legs, and chest.

A man with shrinking levels of testosterone actually may lose some body hair. Testosterone replacement therapy comes with a few potential side effects, including acne and breast enlargement. Testosterone patches may cause minor skin irritation. Topical gels may be easier to use, but great care must be taken to avoid transferring testosterone to someone else though skin-to-skin contact.
Muscle, Fat, and Bone

Testosterone is one of many factors involved in the development of muscle bulk and strength. Testosterone increases neurotransmitters, which encourage tissue growth. It also interacts with nuclear receptors in DNA, which causes protein synthesis. Testosterone increases levels of growth hormone. That makes exercise more likely to build muscle.

Testosterone increases bone density and tells the bone marrow to manufacture red blood cells. Men with very low levels of testosterone are more likely to suffer from bone fractures and breaks.

Testosterone also plays a role in fat metabolism, helping men to burn fat more efficiently. Dropping levels of testosterone can cause an increase in body fat.

Testosterone therapy can be administered by a doctor via intramuscular injections.
Circulatory System

Testosterone travels around the body in the bloodstream. The only way to know your testosterone level for sure is to have it measured. This usually requires a blood test.

Testosterone spurs the bone marrow to produce red blood cells. And, studies suggest that testosterone may have a positive effect on the heart. But some studies investigating testosterone’s effect on cholesterol, blood pressure, and clot-busting ability have had mixed results.

When it comes to testosterone therapy and the heart, recent studies have conflicting results and are ongoing. Testosterone therapy delivered by intramuscular injection may cause blood cell counts to rise. Other side effects of testosterone replacement therapy include fluid retention, increased red cell count, and cholesterol changes.

Contact us via +255 768 603 979.for a help.
/https://web.facebook.com/Yourhealthyourprioritylifestyles/…
https://paulbiswalo.blogspot.com/
 
Add caption
 

Share:
JE_WAPENDA_KUWA_NA_NGOZI_NYORORO_NA_YENYE_KUVUTIA?

wasiliana nasi kupitia namba hii +255768603979.

~Watu wengi wamejikuta waingia kwenye changamoto ya ngozi na kupoteza mwonekano wao wa asili kwa sababu ya KUTUMIA VIPODOZI VYENYE KRMIKALI PASIPO KUJUA.

》 USIHUZUNIKE_SANA_KWANI_WAWEZA_KURUDISHA NGOZI YAKO KWENYE MWONEKANO WAKE WA ASILI KWA KUTUMIA VIRUTUBISHO NA VIPODOZI VYA ASILI VISIVYOKUWA NA KEMIKALI NDANI YAKE.

Kwa Ushauri au Kupata Huduma zetu Kama Uko Dar Es Salaam,Dodoma,Arusha,Mwanza Na Mbeya,Rukwa,Katavi,Singina,Ruvuma,Njombe,Simiyu,Mara...na Popote Ulipo(Tanzania Na Zaidi Ya Nchi 160 Duniani).

Kwa maelezo zaidi jinsi unavyoweza kupata bidhaa zinazo ondoa tatizo hilo wasiliana nasi kupitia namba hii +255768603979.
Free delivery ndani ya Dar, kama upo mkoani utatumiwa pia ndani ya tanzania.

Ni virutubisho asili ambavyo vimeshawasaidia watu wengi saana hapa nchini na Duniani kwa Ujumla. Karibu Upate huduma zetu kwa ushauri pia wasiliana nasi PIGA /TUMA NENO :"Health and wellness is Your Priority".kisha #NAMNA YA KUWA NA NGOZI NZURI YA KUVUTIA.
. kwa mawasiliano: +255768603979“maamuzi yako ya sasa ni matokeo ya baadaye”
. ///https://web.facebook.com/Yourhealthyourprioritylifestyles/…
https://paulbiswalo.blogspot.com/

SHARE NA UNAOWAPENDA ILI WAFAIDI ELIMU HII YA BURE.

#JE_WAPENDA_KUWA_NA_NGOZI_NYORORO_NA_YENYE_KUVUTIA?
 
#JE_WAPENDA_KUWA_NA_NGOZI_NYORORO_NA_YENYE_KUVUTIA?
 
#JE_WAPENDA_KUWA_NA_NGOZI_NYORORO_NA_YENYE_KUVUTIA?

Share:

PUNGUZA_UZITO_KWA_VIRUTUBISHO_BORA_DUNIANI

PUNGUZA_UZITO_KWA_VIRUTUBISHO_BORA_DUNIANI

Piga au tuma sms kwa  +255768603979. sasa upate ushauri wa bure wa kukinga AFYA_YAKO.
~Watu wenye uzito mkubwa wana hatari ya kufa mapema kutokana na kunyemelewa na maradhi hatari kirahisi kama kisukari,presha,sroke,magonjwa ya moyo n.k

Najua unapenda kuwa na afya njema.

++Je unafahamu maradhi mengi 90% husababishwa na utumbo wako kuwa mchafu?

++Je! Unafahamu kama unavyo peleka service gari lako na mwili wako unahitaji pia unahitaji service?

++Umewahi kufikiria njia za kusafisha utumbo wako?
kutoa sumu za chemicals,
-soda,
-sigara,
-madhara ya madawa,
- Air condition(A/C),
-Juice za box(artificial juice),
-pombe (alcohol) na mengineyo?

Jaribu kufikiria je unapata choo kilaini?

Je kinaelea juu? Na je unapata kila siku?

Kutokupata choo huweza kusababisha maradhi kama
-kuumwa kichwa muda mrefu,
-gesi tumboni ,
-kansa ya utumbo na mara nyingine uti wa mgongo unaweza kuoza.

Jipatie Juices za Aloe vera gel ni juice ambayo inatoa sumu mwilini(cleansing),inaongeza kinga ya mwili, inasaidia mfumo wa mmeng'enyo wa chakula ili kusaidia kwa wale wasiopata choo(constipation).

Pia husaidia kwa maradhi kama, presha, kisukari, vidonda vya tumbo na aleji lakini pia Inapunguza kasi ya Uzee kwa kuondoa ngozi iliyochoka.

Jali afya yako kwa kutumia virutubisho halisi na Bora na punguza kutumia madawa yenye chemichal.

 Kwa Ushauri au Kupata Huduma zetu Kama Uko Dar Es Salaam,Dodoma,Arusha,Mwanza Na Mbeya,Rukwa,Katavi,Singina,Ruvuma,Njombe,Simiyu,Mara...na Popote Ulipo(Tanzania Na Zaidi Ya Nchi 160 Duniani).

Kwa maelezo zaidi jinsi unavyoweza kupata bidhaa zinazo ondoa tatizo hilo wasiliana nasi kupitia namba hii +255768603979.
Free delivery ndani ya Dar, kama upo mkoani utatumiwa pia ndani ya tanzania.

Ni virutubisho asili ambavyo vimeshawasaidia watu wengi saana hapa nchini na Duniani kwa Ujumla. Karibu Upate huduma zetu kwa ushauri pia wasiliana nasi PIGA /TUMA NENO :"Health and wellness is Your Priority".kisha #NAMNA YA KUONDOA SUMU MWILINI NA KUONGEZA VIRUTUBISHO MWILINI .
. kwa mawasiliano: +255768603979“maamuzi yako ya sasa ni matokeo ya baadaye”
. ///https://web.facebook.com/Yourhealthyourprioritylifestyles/…

https://paulbiswalo.blogspot.com/

SHARE NA UNAOWAPENDA ILI WAFAIDI ELIMU HII YA BURE.

#PUNGUZA_UZITO_KWA_VIRUTUBISHO_BORA_DUNIANI.

Share:
TATIZO LA VIUNGO(JOINT PROBLEMS),MIGUU KUWAKA MOTO,KUKAKAMAA KWA MISULI,MAUMIVU YA KIUNO NA MGONGO,NI CHANGAMOTO KWA WAZEE,WANAMICHEZO NA WANYANYUA VYUMA(GYM).

Wasiliana nasi kwa namba hii +255768603979.

Matatizo ya viungo,miguu kuwaka moto,maumivu ya kiuno na mgongo, yamekua yakiwasumbua watu wengi hasa wenye uzito mkubwa,wanaofanya mazoezi na wazee wenye umri kuanzia 55+
Hii ni kwasababu umri unavyozidi kwenda mwili unashindwa kuzalisha ute ute katika viungio vya mifupa,na hivyo kupelekea misuguano ya mifupa,ambapo husababisha maumivu makali sana na kupelekea mtu kushindwa Kukaa,Kuinuka,Kukimbia au Kutembea Kabisa!!

CHANZO CHA TATIZO LA VIUNGO (JOINTS TEAR AND WEAR)

-Mara Nyingi Ugonjwa Huu Huitwa ARTHRITIS,Unasababishwa na hitilafu yoyote katika sehemu hizo za maungio ya mifupa.
Inaweza kuwa cartilage inalika,upungufu wa synovial fluid(Maji Maji Katika Maungio),maambukizi ya vijidudu katika moja ya maeneo hayo au mchanganyiko wa matatizo Mbali Mbali,Ikiwemo Uzito mkubwa.
Tabia kuu ya magonjwa haya ni maumivu kwenye maungio ya mifupa (joints) ambayo ni endelevu na ambayo hutokea eneo hilo hilo moja.

Chanzo Cha Arthritis Ni Nini...?
Ili Upate Kuelewa Vyema Chanzo cha ugonjwa huu,hebu kwanza tutazame muundo wa joint au sehemu mifupa miwili inapokutana(Maungio).
Mfano Goti ambapo mifupa miwili mmoja wa paja na mwingine wa mguu vinapokutana:

Maungio ya mifupa-Ligaments;
-Ndicho kitu kinachoshikilia mifupa hii miwili pamoja,hii ni kama utepe wa plastiki au mpira unaonyumbuka uliozunguka eneo hilo kwa nje,ukikunja goti inanyumbuka na ukinyoosha mguu inarudi.

Cartilage;Huu ni utando unafunika eneo ambalo mifupa hugusana ili kuzuia mifupa hii isisuguane moja kwa moja,Utando huu ambao kwa kiswahili tunauita gegedu huyawezesha maungio hayo kufanya kazi kiulaini pasipo kusababisha maumivu.

Capsule;Hiki ni kitu kinachofunika maungio haya kikizunguka pande zote,ndani ya mfuko huu wa capsule kuna synovial fluid ambayo huzalishwa na synovial membrane.
Synovial fluid ni ute ute wa kulainisha sehemu hiyo ya maungio na synovial membrane ni utando ulio kwenye kuta za ndani za capsule.

Kama nilivyoeleza hapo juu,kuwa kuna aina zaidi ya 100 za ugonjwa huu wa joints au arthritis.
Katika mada yetu ya leo tutatazama aina kama nne hivi za ugonjwa huu,tukielezea chanzo cha kila aina....

#1. Osteoarthritis.
- Hii ni aina ya arthritis inayosumbua watu wengi zaidi kuliko aina nyingine zote...
Ugonjwa huu huwapata zaidi watu wenye umri mkubwa,Osteoarthritis hutokea pale cartilage inapopoteza uwezo wake wa kubonyea na kuwa ngumu hivyo kuharibika haraka.
- Cartilage ni kiungo cha kuhimili migandamizo ya ghafla (shock absorber),Cartilage hii inapopoteza ubora wake,tendons na ligaments huvutika na kusababisha maumivu.
Hali ya uharibifu huu wa cartilage ikiendelea,mwishowe mifupa huanza kusuguana moja kwa moja na ndipo mgonjwa atakapoanza kupata maumivu makali sana sana.
- Athari za ugonjwa huanza taratibu na kuongezeka zaidi,Mgonjwa ataanza kupata maumivu kwenye joint baada ya kufanya shuguli fulani au baada ya mapumziko ya muda mrefu. Joints zitaanza kukaza siku hadi siku,Hasa wakati wa asubuhi unapotaka kuanza shughuli zako za kawaida.
Na siku zinavyosogea ndivyo utakavyoona ni vigumu zaidi kukitumia kiungo chako,Mara nyingine utaona uvimbe kwenye joint.
Osteoarthritis hushambulia zaidi nyonga,mikono,magoti na uti wa mgongo.

#2. Rheumatoid arthritis.
- Ugonjwa huu hutokea pale mfumo wa kinga ya mwili unapopungua,viungo huanza kushambuliwa, ikiwa ni pamoja na synovial membrane (synovium) na kusababisha uvimbe na maumivu.
Hali hii isipodhibitiwa,huweza kusababisha ulemavu. Ugonjwa huu unaweza pia kushambulia macho,ngozi,mapafu,midomo,damu na mishipa ya damu. Huu ni ugonjwa ambao zaidi ni wa wanawake na huwatokea zaidi wawapo kati ya umri wa miaka 40 hadi 60.
Mgonjwa atasikia maumivu na kuona uvimbe kwenye joints za pande zote za mwili;
Yaani kama ni magoti,yote mawili yatashambuliwa na Viungo vinavyoshambuliwa zaidi ni vidole,viwiko vya mikono na miguu.

- Athari zake huonekana zaidi asubuhi unapoamka na maumivu yanaweza kudumu kwa muda wa hadi nusu saa.
Muathirika wa ugonjwa huu hujisikia mchovu muda wote, hukosa hamu ya kula na hupungua uzito,Ugonjwa huu huweza kukua zaidi na Kusababisha matatizo katika viungo vyote vya mwili.
Matatizo yanayoweza kujitokeza ugonjwa ukikua ni kama yafuatayo:
– Macho kuwa na ukavu,maumivu,wekundu,kutopenda mwanga na kutoona vizuri
– Midomo,Ukavu au kukauka kwa lips za midomo,maumivu na maambukizi ya fizi
– Ngozi,Vijinundu chini ya ngozi kwenye maeneo yenye mifupa
-- Mapafu,Kushindwa kupumua vizuri
– Mishipa Ya Damu,Uharibifu wa mishipa ya damu
– Damu,Upungufu wa chembechembe nyekundu za damu

#3. Infectious arthritis (septic arthritic).
- Aina hii ya arthritis inatokana na maambukizi ya bacteria kwenye synovial fluid. Maambukizi haya yanaweza kuwa pia ni ya fungus au virusi.
Wadudu kutoka sehemu nyingine ya mwili iliyo karibu na maungio ya mifupa huweza kusambaa kupitia mfumo wa damu hadi kwenye joint na kuleta maambukizi.

Mara nyingi mtu mwenye aina nyingine ya arthritis ndiye anayepata maambukizi ya namna hii,Mgonjwa ataanza kwanza kupata homa, maumivu na uvimbe kwenye joint.
Maeneo ambayo hushambuliwa zaidi na aina hii ya arthritis ni goti, mabega,kiwiko cha mkono,kiganja (wrist) na vidole na mara nyingi ni eneo moja tu ndilo litakaloshambuliwa

#4. Juvenile rheumatoid arthritis (JRA).
- Ni ugonjwa ambao huwapata zaidi vijana walio na umri ulio chini ya miaka 16 na unakuja kwa namna nyingi.
Kuna aina kuu tatu za ugonjwa huu:

I. Pauciarticular JRA.
- Huu ndiyo unaoonekana zaidi na hauna madhara makubwa ukilinganisha na aina nyingine,Mtoto atasikia maumivu kwenye joints zinazofikia nne.

II. Polyarticular JRA.
- Huu hushambulia joints nyingi zaidi, zaidi ya nne na maumivu yake ni makali zaidi.
Kadri siku zinavyoongezeka, ndivyo maumivu yatakavyozidi.

III. Systemic JRA.
- Huu huonekana kwa nadra ambapo maumivu hujitokeza kwenye maeneo mengi na madhara yake kuwa makubwa zaidi,Mtoto ataanza kusikia homa za vipindi ambapo huzidi zaidi nyakati za jioni.
Hali hii inaweza kumtokea mtoto kwa muda mfupi au kwa wengine kwa muda mrefu sana.
Mtoto atapata mauvimu kwenye maungio ya mifupa (joints),uvimbe kwenye maungio hayo na kukakamaa kwa viungo.
Mtoto huyu atakosa hamu ya kula hivyo kumfanya akonde.
Ugonjwa ukizidi, mtoto anaweza kudumaa (kushindwa kukua), ukuaji wa mifupa yake kuathirika na kupata matatizo ya macho (uveitis).

Changamoto Kubwa Ya Matatizo Ya Joints Huwapata Wana Michezo,Wanyanyua Vyuma(Body Builder),Watu Wanaofanya Kazi Ngumu,Mafundi Magari,Wabeba Mizigo Na Madereva Wa Masafa Marefu Na Wafanyakazi Wa Mahofisini Wanao Fanya Kazi Za Kukaa Zaidi.

SULUHISHO KWA MGONJWA MWENYE TATIZO LA JOINTS NA KUJIKINGA NA TATIZO LA JOINTS

Hakuna Ugonjwa usio na suluhisho kama ukiuwahi mapema,japo pia ukichelewa ina kuwa ni mbaya zaidi ila suluhisho halikosekani kabisaa!!
Na Suluhisho pekee la Tatizo La Joints ni kutumia Virutubisho(Food Supplements),kwa mwenye tatizo ama kwa wanaofanya mazoezi ili kuongeza huo ute ute kwa lengo la kuzuia misuguano ya joints.

Kwa Ushauri au Kupata Huduma zetu Kama Uko Dar Es Salaam,Dodoma,Arusha,Mwanza Na Mbeya,Rukwa,Katavi,Singina,Ruvuma,Njombe,Simiyu,Mara...na Popote Ulipo(Tanzania Na Zaidi Ya Nchi 160 Duniani).

Kwa maelezo zaidi jinsi unavyoweza kupata bidhaa zinazo ondoa tatizo hilo wasiliana nasi kupitia namba hii +255768603979.
Free delivery ndani ya Dar, kama upo mkoani utatumiwa pia ndani ya tanzania.

Ni virutubisho asili ambavyo vimeshawasaidia watu wengi saana hapa nchini na Duniani kwa Ujumla. Karibu Upate huduma zetu kwa ushauri pia wasiliana nasi PIGA /TUMA NENO :"Health and wellness is Your Priority".kisha #SULUHISHO KWA TATIZO LA VIUNGO(JOINT PROBLEMS),MIGUU KUWAKA MOTO,KUKAKAMAA KWA MISULI,MAUMIVU YA KIUNO NA MGONGO,NI CHANGAMOTO KWA WAZEE,WANAMICHEZO NA WANYANYUA VYUMA(GYM).
. kwa mawasiliano: +255768603979“maamuzi yako ya sasa ni matokeo ya baadaye”
. ///https://web.facebook.com/Yourhealthyourprioritylifestyles/…

SHARE NA UNAOWAPENDA ILI WAFAIDI ELIMU HII YA BURE.

#SULUHISHO KWA TATIZO LA VIUNGO(JOINT PROBLEMS),MIGUU KUWAKA MOTO,KUKAKAMAA KWA MISULI,MAUMIVU YA KIUNO NA MGONGO,NI CHANGAMOTO KWA WAZEE,WANAMICHEZO NA WANYANYUA VYUMA(GYM).

Share:

Popular Posts

Blog Archive

for any assistance.

“Your health is your responsibility, love your health as you love your stuff”. -@Paul Biswalo.

We are looking forward to connect with you.

Our phone number is +255 768 603 979,for only calls/text &
+255 ,for WhatsApp only.
Email-address : biswalopaul@gmail.com.

It's me your lovely friend,
Yours in faithfulness,

-@Paul Biswalo, C.E.O & FOUNDER.
Mentor || Motivational Speaker || Trainer || Event Host || Entrepreneur || Healthy & Life coach || Presenter & Inspirational Public Speaker.
*let's meet all at the Top because is no longer crowded*

Featured post

UNAFAHAMU UMUHIMU NA FAIDA YA KUBORESHA KINGA YA MWILI??????

AFYA YAKO NI JUKUMU LAKO. UNAFAHAMU UMUHIMU NA FAIDA YA KUBORESHA KINGA YA MWILI?????? jiulize swali hili na utafakali vizuri ilik...

Followers

Contact Form

Name

Email *

Message *

Labels

Total Pageviews

Theme Support