Health And Wellness Is Your Priority & Personal Development Mentorship Programs.

“Your health is your responsibility, love your health as you love your stuff”. -@Paul Biswalo.

We are looking forward to connect with you.

Our phone number is +255 768 603 979,for only calls/text &
+255 ,for WhatsApp only.
Email-address : biswalopaul@gmail.com.

It's me your lovely friend,
Yours in faithfulness,

-@Paul Biswalo, C.E.O & FOUNDER.
Mentor || Motivational Speaker || Trainer || Event Host || Entrepreneur || Healthy & Life coach || Presenter & Inspirational Public Speaker.
*let's meet all at the Top because is no longer crowded*

FAHAMU MADHARA YA KUWA NA UZITO MKUBWA NA NAMNA YA KUDHIBITI KWA NJIA ASILI.+255768603979.


FAHAMU MADHARA YA KUWA NA UZITO MKUBWA NA NAMNA YA KUDHIBITI KWA NJIA ASILI.


Je, una changamoto na uzito mkubwa?
Unafahamu  madhara ya kuwa na uzito mkubwa ?
Soma  nakala hii ,kufahamu zaidi namna ya kudhibiti uzito kwa njia asili.

Shirika la Afya Duniani (WHO), limeonya kuhusu ongezeko la watu wenye unene wa kupitiliza, huku wakitaja hiyo kuwa ni sababu kuu ya kuwapo kwa watu wengi wenye maradhi ya moyo, kisukari na ini.
Pamoja na watu  hawa kuhitaji kufanya mazoezi  kupunguza uzito wa miili yao, wataalamu  wa chakula  na lishe wanashauri  kufanya mazoezi kulingana na aina ya vyakula unavyokula  
                            NAMNA KUPIMA UZITO WAKO
Je unafahamu BMI yako?
Body Mass Index (BMI) ni kipimo kinachotumia urefu na uzito wako kujua Kama una uzito wa kiafya. 
Kujua kipimo  ya  BMI unachostahili  kuwa nacho ,unachukua herufu  wako kwa mita * herufu kwa mita *24.9 
Ikiwa BMI yako ni: * Chini ya 18.5- una underweight.
* Kati ya 18.5 na 24.9 - una uzito sahihi kwa afya .
* Kati ya 25 na 29.9 - una overweight.
* Kutoka 30 Na zaidi -una uzito uliopitiliza. 

                       MADHARA YA KUWA UZITO MKUBWA 

Ukiwa una uzito wa kupitiliza itasababisha madhara yafuatayo;
1.Matitizo kwenye figo 
2.Uwepo wa michirizi 
3.Kupunguza hamu ya tendo la ndoa 
4.Kuharibu mfumo mzima wa upumuaji 
5.Kuharibu ini 
6.Hupelekea uwezekano wa kupata kisukari,tatizo la presha  na kwenye guot. 
7.Hupelekea changamoto kwenye mfumo wa moyo 
8.Hupelekea  kuleta shida kwenye mfumo wa ubongo 
9.Hupunguza kasi ya kuishi 
10.Huleta shida kwenye mmeng'enyo wa chakula 
11.Maumivu kwenye viungo kama vile magoti,kiuno nk 
12.Kuongeza kiwango cha mafuta mwilini.


SULUHISHO LA KUDUMU 
Programu ya kwanza  inaitwa "Detox Pack" .Programu hii itachukua siku tisa ambazo kazi yake kubwa ni safisha mwili na kuandaa mwili. Faida ya  kutumia Detox pack
1.       Inaboresha kinga ya mwili
2.       Husaidia kuweka homoni sawa sawa.
3.       Virutubisho zinakuwa zinanyonywa vizuri mwilini
4.       Inakufanya upate usingizi mzuri
5.       Inasadia kuweka sawa mmeng’enyo wa Chakula.
6.       Inapunguza kasi ya uzee
7.       Inakupa nguvu ya kutosha
8.       Inasadia ubongo kufanya kazi vizuri
9.       Inaondoa uvimbe wa ndani na nje.  

FAIDA ZINGINE  ZA  KUTUMIA DETOX PACK
1.       Inachukua siku tisa.
2.       Huondoa taka mwilini .
3.       Inakufanya ujisikie active.
4.       Inasafisha ngozi yako.
5.        Inakupunguza kidogo kwa sababu ya sumu.
6.        Haina madhara yeyote.
7.       Inatumiwa na watu wa rika zote 

Program hii ni muhimu sana kwa watu wa rika zote hasa katika kuimarisha kinga ya mwili na kuongeza vitamini mwilini. Matokeo yanaweza kutofautiana. Kwa wadada hili limekua Tatizo kubwa kwa Dada wengi sana #KAKITAMBI". Kinamfanya Msichana akose Confidence na mwili wake, pia anakua Uncomfortable kuvaa Top Fupi au Skinny Top. 


 
                                       
Utofauti wa programu yetu  na program zingine.
Baada ya kutumia Detox pack utaendelea na programu ya pili  ya kupunguza uzito kama utapendelea kupunguza uzito zaidi.Baadhi ya watu waliopungua uzito
Kwa watu wenye changamoto hii,Kampuni tumewaandalia Program maalamu na virutubisho muhimu. 






Bidhaa hizi ni vyakula, siyo dawa wala mitishamba. Zimetengenezwa kutoka kwenye vyakula ambavyo tungefaa kula kila siku, na vina lishe kamili na virutubisho muhimu katika miili yetu inavyo hitaji ili iweze kutengeneza yenyewe afya bora na nadhifu.  Hizo bidhaa zina mchanganyiko wa vitu vifuatavyo: Proteins, Vitamins, Minerals, Essential Fat Acid and Trace minerals.Pia Program zetu za lishe zimethibitishwa na  mashirika ya kuthibiti ubora wa viwango vya bidhaa duniani. Na kwa hapa Tanzania, zimethibitshwa na mamlaka ya chakula na madawa (TFDA). Tunapatikana Tanzania.
Kwa yeyote anayehitaji hii program ya kudetox na  ushauri wa kuimarisha afya  wasiliana na mtaalamu wetu. Kwa kupata mafunzo zaidi kuhusiana na afya ya kuimairisha afya  kwa namba hii +255768603979.

Share:

Popular Posts

Blog Archive

for any assistance.

“Your health is your responsibility, love your health as you love your stuff”. -@Paul Biswalo.

We are looking forward to connect with you.

Our phone number is +255 768 603 979,for only calls/text &
+255 ,for WhatsApp only.
Email-address : biswalopaul@gmail.com.

It's me your lovely friend,
Yours in faithfulness,

-@Paul Biswalo, C.E.O & FOUNDER.
Mentor || Motivational Speaker || Trainer || Event Host || Entrepreneur || Healthy & Life coach || Presenter & Inspirational Public Speaker.
*let's meet all at the Top because is no longer crowded*

Featured post

UNAFAHAMU UMUHIMU NA FAIDA YA KUBORESHA KINGA YA MWILI??????

AFYA YAKO NI JUKUMU LAKO. UNAFAHAMU UMUHIMU NA FAIDA YA KUBORESHA KINGA YA MWILI?????? jiulize swali hili na utafakali vizuri ilik...

Followers

Contact Form

Name

Email *

Message *

Labels

Total Pageviews

Theme Support